Interior design tufurahishe macho

Interior design tufurahishe macho

Interior decors hao wako vizuri katika uchaguzi wa rangi, mpangilio na design hasa za furniture

Hii taaluma haijaingia sana bongo lakinihata waliopo hawajitangazi vizuri ili watu wajue kwamba kuipanga nyumba au ofisi ni fani inayosomewa na ndio maana utaona tofauti kati ya nyumba iliyopangiliwa na wataalam na iliyopangiliwa kienyeji
 
Interior decors hao wako vizuri katika uchaguzi wa rangi, mpangilio na design hasa za furniture

Hii taaluma haijaingia sana bongo lakinihata waliopo hawajitangazi vizuri ili watu wajue kwamba kuipanga nyumba au ofisi ni fani inayosomewa na ndio maana utaona tofauti kati ya nyumba iliyopangiliwa na wataalam na iliyopangiliwa kienyeji
Wanosemea basic psychology na sociology na wanakusoma tabia. Wana kupangia mazingira yanayo kufanya u relax ukiwa nyumbani. Ninamaanisha wale waliosomea.
 
Wanosemea basic psychology na sociology na wanakusoma tabia. Wana kupangia mazingira yanayo kufanya u relax ukiwa nyumbani. Ninamaanisha wale waliosomea.
Kweli kabisa Sky. Unajua kuna rangi, furniture, na mpangilio kutokana na mahali.

Kwa mfano kuna designs hasa rangi za ofisi ambazo zinamfanya mtu akiwa kazini awe ame relax na kumpa energy ya kufanya kazi, kuna designs na rangi za nyumbani kumfanya mtu akiingia kwake aondokane na stress za nje, na hata kuna designs za mpangilio na rangi za hospitali ambazo zinasaidia kumpa relief mgonjwa na kujihisi yupo sehemu salama
 
Unaingia ndani ya nyumba unakutana na marangi ya kijani mgomba na orange ..hahahah..lazima uzidi kustresika
Kweli kabisa Sky. Unajua kuna rangi, furniture, na mpangilio kutokana na mahali.

Kwa mfano kuna designs hasa rangi za ofisi ambazo zinamfanya mtu akiwa kazini awe ame relax na kumpa energy ya kufanya kazi, kuna designs na rangi za nyumbani kumfanya mtu akiingia kwake aondokane na stress za nje, na hata kuna designs za mpangilio na rangi za hospitali ambazo zinasaidia kumpa relief mgonjwa na kujihisi yupo sehemu salama
 
Unaingia ndani ya nyumba unakutana na marangi ya kijani mgomba na orange ..hahahah..lazima uzidi kustresika
Hahahaaa umeona eeh yna2. Hii ni fursa nzuri kwa watu wa interior decorations kujitangaza, watu wengi hawajui kupangilia nyumba tena kuna wengine wanadhani kununua furniture za bei mbaya ndio kupendezesha nyumba au ofisi lakini inakua ni tofauti
 
Kibongobongo bado hatujafikia uko kwenye kutengeneza mazingira ya kumfanya mtu ajisikie vizuri ..kama wapo hawafiki hata wawili na tumekariri sebule ili ipendeze basis iwe na mafurniture mengi..khaa!! Nyumba kama stoo
Hahahaaa umeona eeh yna2. Hii ni fursa nzuri kwa watu wa interior decorations kujitangaza, watu wengi hawajui kupangilia nyumba tena kuna wengine wanadhani kununua furniture za bei mbaya ndio kupendezesha nyumba au ofisi lakini inakua ni tofauti
 
Kibongobongo bado hatujafikia uko kwenye kutengeneza mazingira ya kumfanya mtu ajisikie vizuri ..kama wapo hawafiki hata wawili na tumekariri sebule ili ipendeze basis iwe na mafurniture mengi..khaa!! Nyumba kama stoo
Mdogomdogo tutafika tu na watu watakuja zowea
 
msiishie tu kwenye furnitures ..... taa nazo zinaongeza urembo ndani ya nyumba au sio dada Sky Eclat
IMG_20190531_175714_512.jpeg
IMG_20190531_175848_774.jpeg
 
Unaingia ndani ya nyumba unakutana na marangi ya kijani mgomba na orange ..hahahah..lazima uzidi kustresika
hili jambo hua nazungumza na rafiki zangu mara nyingi japo kwa sie huku kwetu hatujaona umuhimu wa mpangilio wa nyumba na rangi, pia rangi hua zina maana yake kabisa hhahahaha sio kwa nyumba ya rangi ya mgomba.
 
hili jambo hua nazungumza na rafiki zangu mara nyingi japo kwa sie huku kwetu hatujaona umuhimu wa mpangilio wa nyumba na rangi, pia rangi hua zina maana yake kabisa hhahahaha sio kwa nyumba ya rangi ya mgomba.


Umesema ukweli..waTz bado tupo nyuma Sana linapokuja suala la mpangalio wa rangi katika makazi yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Umesema ukweli..waTz bado tupo nyuma Sana linapokuja suala la mpangalio wa rangi katika makazi yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
kiukweli mimi nakua na machaguzi saana na vitu haswa vya ndani hua nazingatia muundo na rangi haswaaa najua zina nafasi katika akili ya mwanaadam unakuta mtu ana nyumba nzuri furnitures za thamani ila unaweza chefukwa ukiangalia mpangilio na rangi yaani sebule imejaa vitu visivyo na muhimu na hakuna muingiliano wa vitu.
 
Back
Top Bottom