Jicho lililopotea

Jicho lililopotea

Ukiacha jicho...

Wamama wana misonyo fulani hivi halafu kila msonyo na maana yake, kuna msonyo mmoja huo mrefuuuu una mlio kama starter inayozingua, halafu lazima uambatane na kurushiwa kitu chochote kipo karibu hapo...
😅😅😅, kuna wamama wana mkono mwepesi kama upo karibu naye lazima akupapase kidogo, kama upo mbali naye utarushiwa chochote kilicho karibu.
 
Miaka hii hata hao watoto hawathubutu kukutazama machoni, zamani tulikuwa innocent, hata tabia ya mtu iliandikwa ndani ya macho yake.
 
mzee umenikumbusha mbali mno

mmeenda ugenini wakatenga msosi alafu mkakaribishwa mle,unamuangalia kwanza bi mdashi,kuna namna akikuangalia apo kula,na kuna namna akikuangalia usiguse yani hata kama unanjaa utasema umeshiba afu na yeye anakwambia kulaaa huku anakukata jicho

hatukuwa tunapractice au akinambia ila we had deep connections,tatizo watoto wa sasa hivi wanakua kwa maziwa ya ng'ombe,wanajisaidia kwenye mapoti hawatengwi miguuni,hawabebwi na mama zao na kwenda umbali mrefu na vitu kama hivyo!!
 
Kina mama Junior wataweza wapi mambo Yale?
Si ndio Hawa wako busy kutaka tuwasaidie toilet training ya watoto!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom