Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,790
- 4,678
😅😅😅, kuna wamama wana mkono mwepesi kama upo karibu naye lazima akupapase kidogo, kama upo mbali naye utarushiwa chochote kilicho karibu.Ukiacha jicho...
Wamama wana misonyo fulani hivi halafu kila msonyo na maana yake, kuna msonyo mmoja huo mrefuuuu una mlio kama starter inayozingua, halafu lazima uambatane na kurushiwa kitu chochote kipo karibu hapo...
, kuna wamama wana mkono mwepesi kama upo karibu naye lazima akupapase kidogo, kama upo mbali naye utarushiwa chochote kilicho karibu.
mzee umenikumbusha mbali mno
mmeenda ugenini wakatenga msosi alafu mkakaribishwa mle,unamuangalia kwanza bi mdashi,kuna namna akikuangalia apo kula,na kuna namna akikuangalia usiguse yani hata kama unanjaa utasema umeshiba afu na yeye anakwambia kulaaa huku anakukata jicho
hatukuwa tunapractice au akinambia ila we had deep connections,tatizo watoto wa sasa hivi wanakua kwa maziwa ya ng'ombe,wanajisaidia kwenye mapoti hawatengwi miguuni,hawabebwi na mama zao na kwenda umbali mrefu na vitu kama hivyo!!




Hapana jamaniiKwamba mleta mada ana ujauzito![]()
Msamehe bure jamani!Huyo mtoto hana adabu ila ajitafakari sana![]()
Usikuwe hivyo aki!! Msamehe tuu, tuishi kwa amani!Wapuuzi hawastahili msamaha![]()
Halafu unajua huwa nashangaa...
Huwa hawarushi pesa hata kama ndio ilikuwa kwa mkono...
[/QUO
Akurushie pesa ufaidi? 😅 Yupo radhi akurushie tonge la ugali.Halafu unajua huwa nashangaa...
Huwa hawarushi pesa hata kama ndio ilikuwa kwa mkono...