Kwann usitulie unaumiza kichwa bure, Mbona liko wazi kama Unashindwa kumudu gharama za mafuta tumia usafiri mwingine nafuu...Liko wazi haliitaji hata elimu ya darasani
Salam ndugu zangu,
Kuna jambo linanitatiza nikaona hapa naweza pata ufafanuzi. BASATA, hasa shughuli zake ni zipi? Maana nimezoea kuona wakiwafungia tu kazi za wasanii tu.
Anaejua kazi nyingine msaada tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.