king muller
Senior Member
- Aug 29, 2015
- 104
- 56
Salam ndugu zangu,
Kuna jambo linanitatiza nikaona hapa naweza pata ufafanuzi. BASATA, hasa shughuli zake ni zipi? Maana nimezoea kuona wakiwafungia tu kazi za wasanii tu.
Anaejua kazi nyingine msaada tafadhali.
Kuna jambo linanitatiza nikaona hapa naweza pata ufafanuzi. BASATA, hasa shughuli zake ni zipi? Maana nimezoea kuona wakiwafungia tu kazi za wasanii tu.
Anaejua kazi nyingine msaada tafadhali.