Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,341
Huyu SAUT katokea wapi? Ni SUA.nenda mzumbe University mkuu hiyo .B.A in mkt achana na huko SAUT
Huyu SAUT katokea wapi? Ni SUA.nenda mzumbe University mkuu hiyo .B.A in mkt achana na huko SAUT
Nenda mzumbe dogo,SUA Ni chuo kizuri but sio kwa hiyo kozi Kuna wadau wengi wameikimbia ko MZUMBE itapendeza sana.Wakuu nimepata multiple selection.
Nimechaguliwa SUA Bachelor of records and information management wakuu. Inahusika na carrier gani haswa?
Nimechaguliwa pia Mzumbe bachelor ya Business administration and marketing management. Hii najua inahusika na biashara na masoko.
Ipi ina soko kwenye uwanja wa ajira wakuu?
Nisaidieni tafadhali wakati tunasubiri code kutoka TCU wakuu nijue nachagua kipi kati ya hivyo.
Fact aje mzumbe tuhii ni kutunza kumbukumbu za officen ila sijui kama itakuja kuwa na soko maana tunakoelekea mabos wanafanya mambo yao kwenye electronic devices sasa hata data anaweza weka Kwa flash akasave ela ya mpanga mafile officen kwake
Mtaalamu wa mazingiraNje ya maada wakuu..
Eti bachelor of science in Environmental engineering inahusu nini??
Mtu akigraduate anafanya kazi gani ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasome SUA agribusiness iko good sana na wide coverageMie nimechaguliwa Muhimbili Environmental health na SUA Agricultural Economics and Agribusiness nikasome kozi ipi wadau?
FactPcb anaesoma hii course uwa kakosa course za afya,haina tofauti na BA-geography &environmental study
Asante chiefNenda mzumbe dogo,SUA Ni chuo kizuri but sio kwa hiyo kozi Kuna wadau wengi wameikimbia ko MZUMBE itapendeza sana.
Iko good pia,ajira zake kwa Sasa naona nyingi ziko NGO's{non governmental organization},pia halmashauri na usitawi wa jamii wanaitajika pia ko akaipige.wadau mpwa wangu huyu kachaguliwa development studies udom uwanja wake wa ajira upoje kwa sasa...
n.b kama huna jibu tembea pita kushoto tusivunjiane heshima wengi Humu ni wadogo zangu..
mkuu asante kula tano.✊✊Iko good pia,ajira zake kwa Sasa naona nyingi ziko NGO's{non governmental organization},pia halmashauri na usitawi wa jamii wanaitajika pia ko akaipige.
Kijana hivi unadhani watu huwa wanakua mameneja Kirahisi rahis tu?Mi nasoma marketing lkn NIT , nakushauri kasome mzumbe uko marketing management huto juta, ina career nyingi Sana ndani yake.....!!!! Unawez kuwa pricing strategy manager, branding manager, sales manager.... yani vitu kibao!!!!!! Kweny suala la ajira bila Shaka ipo vzr lkn najua utasoma Na entrepreneur ship ko kujiajiri pia ni rahisi coz utakuwa mwepesi ku spot opportunities...!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inakuaje unachagua course halafu ujui inahusika na nnWakuu nimepata multiple selection.
Nimechaguliwa SUA Bachelor of records and information management wakuu. Inahusika na carrier gani haswa?
Nimechaguliwa pia Mzumbe bachelor ya Business administration and marketing management. Hii najua inahusika na biashara na masoko.
Ipi ina soko kwenye uwanja wa ajira wakuu?
Nisaidieni tafadhali wakati tunasubiri code kutoka TCU wakuu nijue nachagua kipi kati ya hivyo.
Utajiunga na wale mgambo wa Bashite kukusanya faini mtaa kwa mtaa mtu akigoma unamtia mbataNje ya maada wakuu..
Eti bachelor of science in Environmental engineering inahusu nini??
Mtu akigraduate anafanya kazi gani ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa waliosoma Geography & Environmental wanasikitisha sana huko mtaaniPcb anaesoma hii course uwa kakosa course za afya,haina tofauti na BA-geography &environmental study
Mbona inawezekana tuKijana hivi unadhani watu huwa wanakua mameneja Kirahisi rahis tu?
Hahaaaa kuna viumbe humu wanaota ndoto za mchana, mkuu huko mtaani hukuon kulivyo, nawacheki tu nasema hiiiiiiiiiiiiiMbona inawezekana tu
Anaweza kuwa hata bibi afya


In order to succeed always think positivity my dearHahaaaa kuna viumbe humu wanaota ndoto za mchana, mkuu huko mtaani hukuon kulivyo, nawacheki tu nasema hiiiiiiiiiiiii