Hii course inahusu nini wakuu?

Hii course inahusu nini wakuu?

wadau mpwa wangu huyu kachaguliwa development studies udom uwanja wake wa ajira upoje kwa sasa...
n.b kama huna jibu tembea pita kushoto tusivunjiane heshima wengi Humu ni wadogo zangu..
 
Wakuu nimepata multiple selection.

Nimechaguliwa SUA Bachelor of records and information management wakuu. Inahusika na carrier gani haswa?

Nimechaguliwa pia Mzumbe bachelor ya Business administration and marketing management. Hii najua inahusika na biashara na masoko.

Ipi ina soko kwenye uwanja wa ajira wakuu?

Nisaidieni tafadhali wakati tunasubiri code kutoka TCU wakuu nijue nachagua kipi kati ya hivyo.
Nenda mzumbe dogo,SUA Ni chuo kizuri but sio kwa hiyo kozi Kuna wadau wengi wameikimbia ko MZUMBE itapendeza sana.
 
hii ni kutunza kumbukumbu za officen ila sijui kama itakuja kuwa na soko maana tunakoelekea mabos wanafanya mambo yao kwenye electronic devices sasa hata data anaweza weka Kwa flash akasave ela ya mpanga mafile officen kwake
Fact aje mzumbe tu
 
wadau mpwa wangu huyu kachaguliwa development studies udom uwanja wake wa ajira upoje kwa sasa...
n.b kama huna jibu tembea pita kushoto tusivunjiane heshima wengi Humu ni wadogo zangu..
Iko good pia,ajira zake kwa Sasa naona nyingi ziko NGO's{non governmental organization},pia halmashauri na usitawi wa jamii wanaitajika pia ko akaipige.
 
Mi nasoma marketing lkn NIT , nakushauri kasome mzumbe uko marketing management huto juta, ina career nyingi Sana ndani yake.....!!!! Unawez kuwa pricing strategy manager, branding manager, sales manager.... yani vitu kibao!!!!!! Kweny suala la ajira bila Shaka ipo vzr lkn najua utasoma Na entrepreneur ship ko kujiajiri pia ni rahisi coz utakuwa mwepesi ku spot opportunities...!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana hivi unadhani watu huwa wanakua mameneja Kirahisi rahis tu?
 
Wakuu nimepata multiple selection.

Nimechaguliwa SUA Bachelor of records and information management wakuu. Inahusika na carrier gani haswa?

Nimechaguliwa pia Mzumbe bachelor ya Business administration and marketing management. Hii najua inahusika na biashara na masoko.

Ipi ina soko kwenye uwanja wa ajira wakuu?

Nisaidieni tafadhali wakati tunasubiri code kutoka TCU wakuu nijue nachagua kipi kati ya hivyo.
Mkuu inakuaje unachagua course halafu ujui inahusika na nn
 
nimechaguliwa kozi mbili yaani urban development and environment management na project planning management zinahusika na nini hizi na vipi kuhusu kazi.... ipi bora wadau.
 
Back
Top Bottom