Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Huko inawezekana wanafanyiwa massage ya steel wire hawawezi kusema kamwe lazima iwe Siri yao
 
Kuna watu wanasema Roma hakuongea kitu, utafikiri hata angeongea hicho wanachotaka kusikia wangemsaidia kwa chochote, wengi wanaopenda kusikia wanachotaka kusikia kutoka kwa watekwaji ni kwa ajili ya umbea tu na sio kusaidia kukomesha hii tabia, mfano Mo akikwambia alitekwa na Bashite wewe utafanya nini zaidi ya kuwa mmbea tu?! Watanzania sisi ni wanafki sana, Mo katekwa lakini siku 8 hakuna hata aliyesimama barabarani na bango lake kushinikiza serikali imtafute kwa udi na uvumba, wote tuliendelea na maisha yetu huku tukila milo mitatu kwa siku, au unalikuta lijitu linakula minofu ya kuku bar afu linakwambia limesikitishwa na kutekwa kwa Mo!!
 
Mkuu ulitaka tusile, kisa MO alitekwa?
Kuna watu wanasema Roma hakuongea kitu, utafikiri hata angeongea hicho wanachotaka kusikia wangemsaidia kwa chochote, wengi wanaopenda kusikia wanachotaka kusikia kutoka kwa watekwaji ni kwa ajili ya umbea tu na sio kusaidia kukomesha hii tabia, mfano Mo akikwambia alitekwa na Bashite wewe utafanya nini zaidi ya kuwa mmbea tu?! Watanzania sisi ni wanafki sana, Mo katekwa lakini siku 8 hakuna hata aliyesimama barabarani na bango lake kushinikiza serikali imtafute kwa udi na uvumba, wote tuliendelea na maisha yetu huku tukila milo mitatu kwa siku, au unalikuta lijitu linakula minofu ya kuku bar afu linakwambia limesikitishwa na kutekwa kwa Mo!!
 
Kuna watu wanasema Roma hakuongea kitu, utafikiri hata angeongea hicho wanachotaka kusikia wangemsaidia kwa chochote, wengi wanaopenda kusikia wanachotaka kusikia kutoka kwa watekwaji ni kwa ajili ya umbea tu na sio kusaidia kukomesha hii tabia, mfano Mo akikwambia alitekwa na Bashite wewe utafanya nini zaidi ya kuwa mmbea tu?! Watanzania sisi ni wanafki sana, Mo katekwa lakini siku 8 hakuna hata aliyesimama barabarani na bango lake kushinikiza serikali imtafute kwa udi na uvumba, wote tuliendelea na maisha yetu huku tukila milo mitatu kwa siku, au unalikuta lijitu linakula minofu ya kuku bar afu linakwambia limesikitishwa na kutekwa kwa Mo!!
Kwa sababu ni maigizo tu nani apoteze muda wake?
 
Kuna watu wanasema Roma hakuongea kitu, utafikiri hata angeongea hicho wanachotaka kusikia wangemsaidia kwa chochote, wengi wanaopenda kusikia wanachotaka kusikia kutoka kwa watekwaji ni kwa ajili ya umbea tu na sio kusaidia kukomesha hii tabia, mfano Mo akikwambia alitekwa na Bashite wewe utafanya nini zaidi ya kuwa mmbea tu?! Watanzania sisi ni wanafki sana, Mo katekwa lakini siku 8 hakuna hata aliyesimama barabarani na bango lake kushinikiza serikali imtafute kwa udi na uvumba, wote tuliendelea na maisha yetu huku tukila milo mitatu kwa siku, au unalikuta lijitu linakula minofu ya kuku bar afu linakwambia limesikitishwa na kutekwa kwa Mo!!
kumbuka wananchi wa kawaida wanahusika kwa namna moja au nyengine maana na wao ndo wanaokaa wakaomba kwamba alietekwa au kupotea apatikane
 
Back
Top Bottom