Bombardear
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 241
- 193
Kumbe na wenyewe wanakufaga
Kumbe na wenyewe wanakufoaga?pole sana mr. president...R.I.P. marehemu
Jaman watu mnachimba familia za wenzenuMama yetu mpendwa Janet Magufuli yuko wapi? Hajaonekana hadharani kitambo, hata kwenye msiba wa wifi yake hakuonekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna atakaye ishi Milele Mkuu.Sasa si UFE KAMA UMEUMIZWA NA HILO!
Mwanamke mzinzi utamjua kwa kauri zake na wivu wa kijinga,hakika wewe ni jike zinziKwanza kabisa Salam Wakuu, na Poleni wafiwa.. Mungu azipumzishe roho za Marehemu mahala pema.
Ni Muda kidogo Umepita tokea Dada wa Kiongozi Mkuu atutoke, Tuliona namna Msiba ule ulivyoweza Kuvuta Mkuu wa Nchi,Viongozi wa Serikali,mpaka Wastaafu,
Shughuli Zote Zilisimama kwa Muda, Vikao havikuwepo..
Hotuba zilitolewa Kana kwamba ni Msiba wa Kitaifa..
Leo hii Tumepoteza Watu 225 kwa mpigo, Wanatumwa Watu kumwakilisha Kiongozi Mkuu, Bila ya kutoa sababu yoyote.
Binafsi nimeumia sana kuhusu hili, Maana naamini katika Usawa, Hakuna Binadamu aliye na Thamani kuliko Mwingine.
Huna akili ww ulitaka serekal yote iishie hukoKwanza kabisa Salam Wakuu, na Poleni wafiwa.. Mungu azipumzishe roho za Marehemu mahala pema.
Ni Muda kidogo Umepita tokea Dada wa Kiongozi Mkuu atutoke, Tuliona namna Msiba ule ulivyoweza Kuvuta Mkuu wa Nchi,Viongozi wa Serikali,mpaka Wastaafu,
Shughuli Zote Zilisimama kwa Muda, Vikao havikuwepo..
Hotuba zilitolewa Kana kwamba ni Msiba wa Kitaifa..
Leo hii Tumepoteza Watu 225 kwa mpigo, Wanatumwa Watu kumwakilisha Kiongozi Mkuu, Bila ya kutoa sababu yoyote.
Binafsi nimeumia sana kuhusu hili, Maana naamini katika Usawa, Hakuna Binadamu aliye na Thamani kuliko Mwingine.