Recent content by King faisal

  1. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Fawanews
  2. King faisal

    JamiiForums Tanzania Nini kinakifanya uende bar ukanywe

    min -me
  3. King faisal

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu, nyie mna-deal vipi na msongo wa mawazo?

    Tahajudi masaa 24 bila kuchoka hii imenisaidia sana.
  4. King faisal

    JamiiForums Tanzania Kati ya yote alioongea Cherry juu ya dotto magari hili la waviu kuwa na vidoti kwenye vikanyagio miguuni kafungua code mpya.

    Na hiki ndicho wanachokitaka walioanzisha ugonjwa huu feki. Yaan mtu kuwa na vipele mwilini tu tayari anao.Sipati picha kama ule mpango wao ungepita wa kumeza PEP kabla ya kufanya mapenzi.
  5. King faisal

    JamiiForums Tanzania Kwa mujibu wa maandiko matakatifu Ellen G. White wa kanisa la Wasabato ndiye Nabii wa mwisho duniani na hakuna Nabii mwingine baada yake

    Hapana pia nakataa si kweli. Kuwa nabii wa ukweli wa Mungu ni kila mtu hata wewe waweza kuwa na kipawa hiki kutoka kwa Roho wa Mungu kama matendo yako ni matakatifu na yenye kumpendeza Mwenyezi Mungu.
  6. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Huende INEOS wanaplan zao hivyo tusubiri mda utaongea mkuu.
  7. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu nimepitia walichosema Mbabani na Bagabeach lakini pia nakubaliana na unachosema. Mie naomba hiki wanachofanya INEOS kilete mafanikio maana hata kocha tulie nae ijapokua kaiwezesha UNITED kumaliza ligi ikiwa ya 3. Lakini naona kama vile uongozi unampangia kila kitu. Hofu kuu ni kwamba...
  8. King faisal

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Safi kabisa Spain 🇪🇸 wanastahili kuchukua kombe hili.
  9. King faisal

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    What a goal from Ferran torres.
  10. King faisal

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Sijui ni presha ya fainali. Naona kama vile wanacheza kwa kuviziana.
  11. King faisal

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Naukubali sana hispania na mfumo wao wa uchezaji wa 4-3-3 chini ya mbinu zinazosisitiza umiliki mkubwa wa mpira, pasi nyingi fupi (Tiki-Taka), na kushambulia kupitia mawinga yenye kasi. Pia argentina wamefika finali kwa hu mfumo wao wa uchezaji unao badilika-badilika kutegemeana na mpinzani...
  12. King faisal

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Leo nipo pote pote ashinde yoyote apigwe yoyote mie sawa tu.
  13. King faisal

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Morgan Rogers ana thamani ya £117?
  14. King faisal

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ukiona timu yako unayoishabikia imeleta kocha anayehusudu mifumo ya kiuoga ya kupaki basi nasio ya ushambuliaji basi hapo mjue ni maumivu. Hongera Argentina na Spain.
  15. King faisal

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    England wanatoka *****
Back
Top Bottom