Recent content by King faisal

  1. King faisal

    JamiiForums Tanzania Anayesumbuliwa na vidonda vya tumbo pamoja na mwanamke kutoshika mimba anitafute

    Mkuu wew fanya uchunguzi utajua kama nachokuambia ni ukweli au uongo.
  2. King faisal

    JamiiForums Tanzania Anayesumbuliwa na vidonda vya tumbo pamoja na mwanamke kutoshika mimba anitafute

    Madonda ya tumbo solution ni pilipili kichaa(cayenne pepper🌶). Kuhusu mwanamke kutokubeba mimba ni suala Pana linalohitaji kujua background yake ya nyuma.
  3. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hapa kidogo ndio umeongea point.
  4. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Umeandika pumba kama mtu aliyetoka kutawaziwa gongo akalewa kiuno hivi estavio mwenye magoli 2 msimu uliopita ndio quality player. Wewe msimu ulioisha si nimekupiga nje ndani. Ungeandika huu upuuzi ukiwa umeshacheza na United na ukashinda hapo ningekuelewa.
  5. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ni usenge usenge tu.
  6. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Luke shaw kasahihisha makosa kwa kumpa assist sesko.
  7. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Magoli tunayofungwa ni kupitia uchocholo wa luke shaw.
  8. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Dah mkuu una imani sana na hii united.
  9. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu upo kwenye payroll ya Glineos.
  10. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    NtYga wamiliki wa Manchester united Hawana ambition kabisa na inaonekana Ruben amorim alikua ni tishio kwao kwasababu hakutaka kukubali upuuzi wao ndio maana wakamtimua. Michael Carrick yeye ni yes man yaani ni aina ya wale puppet wasiotaka kuwapa presha wamiliki hata kidogo kila kitu yeye...
  11. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu inabidi walete angalau RB,LB na stricker 1
  12. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu game ya kwanza ya bayern vs psg(akiwa nyumbani) olise alimsumbua sana nuno mendes. ILa kwakua Luis enrique ni kocha mwenye mbinu aliweza kumdhibiti olise kwenye game ya pili bayern akiwa home Allianz.
  13. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Rashford kwa gemu ya leo kajituma sana mkuu,maino huyu dogo yupo vizuri nataka baleba apone nae arudi tuone moto wake. Kule klabu bingwa tumepangwa na bayern tukiwa nyumbani old Trafford ili tusitafute sababu.
  14. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwako allypipi
  15. King faisal

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Luke shaw ni uchocholo
Back
Top Bottom