Na hiki ndicho wanachokitaka walioanzisha ugonjwa huu feki. Yaan mtu kuwa na vipele mwilini tu tayari anao.Sipati picha kama ule mpango wao ungepita wa kumeza PEP kabla ya kufanya mapenzi.
Hapana pia nakataa si kweli. Kuwa nabii wa ukweli wa Mungu ni kila mtu hata wewe waweza kuwa na kipawa hiki kutoka kwa Roho wa Mungu kama matendo yako ni matakatifu na yenye kumpendeza Mwenyezi Mungu.
Mkuu nimepitia walichosema Mbabani na Bagabeach lakini pia nakubaliana na unachosema. Mie naomba hiki wanachofanya INEOS kilete mafanikio maana hata kocha tulie nae ijapokua kaiwezesha UNITED kumaliza ligi ikiwa ya 3. Lakini naona kama vile uongozi unampangia kila kitu. Hofu kuu ni kwamba...
Naukubali sana hispania na mfumo wao wa uchezaji wa 4-3-3 chini ya mbinu zinazosisitiza umiliki mkubwa wa mpira, pasi nyingi fupi (Tiki-Taka), na kushambulia kupitia mawinga yenye kasi.
Pia argentina wamefika finali kwa hu mfumo wao wa uchezaji unao badilika-badilika kutegemeana na mpinzani...
Ukiona timu yako unayoishabikia imeleta kocha anayehusudu mifumo ya kiuoga ya kupaki basi nasio ya ushambuliaji basi hapo mjue ni maumivu. Hongera Argentina na Spain.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.