Recent content by King faisal

  1. King faisal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    NtYga fuentte baada ya kumsikiliza fabrizio romano niseme tu bodi ya West Ham inahitaji vichwa vyao vikaguliwe kwa uthamini huo wa pauni milioni 85 kwa mateus fernandes baada ya kushushwa daraja. Kwa sababu westham walimnunua kwa kwa pound 38m, adds on 4 for total package ya 42m. kutoka...
  2. King faisal

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mkuu irani alipata somo kubwa, baada ya vita vyake na Iraq vya miaka 8. Lakini pia aliweza kumsoma marekani, na washirika wake wanaotumia silaha ya sanction(vikwazo vya uchumi), machafuko ya ndani kwa kugawa silaha kwa waasi na kusapoti maandamano yakuipinga serikali, zisizo na maslahi kwake...
  3. King faisal

    JamiiForums Tanzania Israel Wameshambulia Beirut Lebanon, Iran walisema Beirut Ikipigwa Watajibu

    Amenda kumwamsha pacha wake Echolima1.
  4. King faisal

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii vita inapaswa kumalizwa mapema.
  5. King faisal

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    IRGC releases footage of drone launches toward Israel during the strikes Iran did not stop at ballistic missiles during tonight’s retaliation. IRIB reported that Iran also launched Shahed-136 drones toward Israel, carrying the message: 💬 “We will not abandon Lebanon.”
  6. King faisal

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    IRGC shows launch of missiles toward Israel
  7. King faisal

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Fires break out in northern Israel as Iranian missiles hit targets
  8. King faisal

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Trump BEGS Iran to STOP and talk to him 💬 “What I would suggest to Iran: You’ve shot your missiles. That’s enough. Get back to the table and make a deal,” Trump told Fox News. He also claimed that Israeli strikes on Beirut were not coordinated with the US and added that he was “not happy about...
  9. King faisal

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    BREAKING: 🚨🇮🇷🇮🇱 5th wave of Iranian ballistic missiles are heading for Israel We are seeing non stop launches at Israel
  10. King faisal

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ndioo naona hapa aljazeera.
  11. King faisal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ila shaolin monk 10 hag ametuharibia sana club yetu.
  12. King faisal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Yaan tuna vituko wengi sana mkuu, kama garter,zirkee sijui mpaka sasa
  13. King faisal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nimeisikia pia ila ngoja tuone time will tell.
  14. King faisal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu unachosema ni ukweli kabisa tumalizane na middlefilders kwanza, tupate beki moja ya kushoto na beki ya kulia. Hapa tunaitaji wachezaji angalau wasiopungua 5.
  15. King faisal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu ni kweli unachosema ijapokua howes kajitahidi mno. Na baada ya anthony Gordon kwenda Barcelona Newcastle watatusumbua sana kama tukitaka kumchukua tonali na lewis hall.
Back
Top Bottom