Israel attempted to assassinate RT correspondent Steve Sweeney and his cameraman in southern Lebanon.
Both are conscious and receiving treatment for shrapnel wounds.
✡️ ‘There's no state on planet more murderous than Israel’ – Mearsheimer
💬 “So the idea that they would use nuclear weapons [against Iran] is certainly plausible. And I really worry about this scenario,” Prof. John Mearsheimer underlines.
💬 “If the Israelis lose in Iran, they will be fully...
Kwahiyo israel ndio kunakalika kisa watu wao wanaishi kwenye maandaki kama panyabuku bila kusahau NETAPAKA aliyekimbia nchi huku mke wake na watoto wapo Florida(miami).
Nyie ndio mashabaki na sasa hivi Ayatollah mpya aliyepatikana huyu alikua mwanajeshi na sio soft kama baba yake hivyo kipigo...
🚨🚨 ALL US bases in the Middle East should be CLOSED — they will be attacked: 🇮🇷 Iran's Supreme Leader Mojtaba Khamenei
KEY TAKEAWAYS from his speech:
🌏 The lever of blocking the Strait of Hormuz must continue to be used
🌏 However, we will obtain compensation from the enemy by any means...
Hatimae mkuu umepata cha kuku tekenya na kucheka mwenyewe, sema huku kwa irani hawatoi cctv camera pia hawajapitisha sheria ya kufunga wananchi wao pale wanapochukua matukio au kuminya taarifa zisifike kwa vyombo vikubwa vya habari duniani. Na viongozi wao hawajakimbia nchi na kwenda kujificha...
Tena saana mpaka zinatolewa cctv camera bila kusahau mwanachi yoyote atayepatikana na kosa la kupiga picha na kurekodi video za mashambulizi yanayofanywa ndani ya nchi adhabu yake ni kifungo cha miaka 5.
🚨 ⚔️ Bloodthirsty Senator Fetterman calls for mass assassination of Iranian officials
Advocating for genocide has long become basic American foreign policy.
Where is Bibi?
Israel’s PM has vanished from the public eye. For several days, Netanyahu has been absent from the media—and the internet is flooding with theories about the disappearance of the chief architect of the aggression on Iran.
Geopolitics Prime rounds up the hottest points:
🌏 Fled...
🇺🇸🇮🇷 ‘We’re not winning this war’: Retired US Army Col. MacGregor on Iran conflict
💬 “We said we were interested in regime change, then we’ve dropped regime change and said we want unconditional surrender – you’re not going to get either,” says Douglas MacGregor
The military veteran condemns...
Carasco Putin ndio alivyo hata kwenye ile vita ya siku 12 alikua na kauli yake ya Pwagu na pwaguzi saivi anatembea na kauli ya wahuni wamechafukwa na huwa haeleweki yupo upande upi naona furaha yake yeye ni kuona kila upande ukipeleka moto hiki ndio anachojali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.