2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Vijana wako wa Barcelona wana kazi nyingine ya ziada kumkaba huyu mchezaji kiraka ambaye anaingia na filimbi.

Kamsikilize Raisi wenu wa Barcelona Laporta, wasiwasi wake sio huyo mchezaji wako.

Wasiwasi wake upo kwa huyu
View attachment 3632809
Pole sana,, tukiachana nahayo, nani unatamani ashinde japo utapata faraja?
 
Leo nipo pote pote ashinde yoyote apigwe yoyote mie sawa tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20260719_205632_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20260719_205632_WhatsApp.jpg
    92.2 KB · Views: 7
Kila mtu anaona kwamba Argentina anaenda kubeba kombe leo mimi kama kawaida yangu hua sishabikii kitu kinachoshabikiwa na wengi. kwa facts nilizotoa kwenye post zilizopita naamini leo bingwa Spain. Let see
Ukiangalia technical capability ni wazi Spain wako vizuri kuliko Argentina hasa eneo kati na nyuma, lakini Argentina kinachowabeba wana spirit ya kupambana sana, afu Leo messi hajawahi kushindwa ...so me naona

Spain 60%
Argentina 40%

Muhimu tuu game itoe mshindi ndani ya dakika 90, tuwahi kulala kesho tuna ratiba nyingi muhimu
 
Mkuu for the first time umekua mkweli...
Mimi ni mkweli sehemu nyingi ukiachana na masihara nayofanya ila ukinizingatia utaona kuna point.

Angalia madai yangu kuhusu corruption, kuhusu favouritism, kuhusu refarii.

Utayakuta yakisemwa na public figures wakubwa hata ambao unawakubali.

Angalia raisi wa Barcelona jinsi alivyoonesha wasiwasi wake kwenye mechi ya fainali.

Angalia jinsi Trump alimvyompiga dongo Gianni Infantino kuhusu tuhuma ambazo zinafanana na mambo ambayo nimekuwa nikiyaandika.

Angalia namna Rais wa FIFA Gianni Infantino akitoa kauli zenye kuashiria wazi ushabiki wake kwa Argentina.

Then njoo anza kutathmini FBI na mchunguzi wa kujitegemea wa The Guardian wanachunguza uwezekano wa FIFA kuhusika kwenye rushwa ya kulindana kati yake na Argentina. Hii ni baada ya kesi ya miaka ya zamani kuibuliwa saizi baada ya nyaraka za siri ambazo zilipatikana baada ya upekuzi uliofanywa na askari wa Argentina kwenye ofisi za AFA kuvuja.
 
Kwa Upande wangu mpaka sasa

Mfungaji bora: ?? (Tusubiri fainali)

Mchezaji bora: Lionel Messi

Mchezaji bora chipukizi: Curbasi

Golikipaa bora: Unai Simon

Goli Bora: Lopes Cabral, Cape Verde Vs Argentina

Mechi Bora: England Vs Argentina

Ushangiliaji bora: Norway

Timu iliyofeli kufikia malengo: Ureno

Timu iliyonishangaza: Norway

Mchezaji aliyeonyesha kiwango cha chini : Bruno Fernandes
 
Back
Top Bottom