Tunaye sana huyo MessiLeo Messi anastaafishwa rasmi na kinyago alichokichonga mwenyewe 😹
Mpaji Mungu japo France tumetolewa lakini tuko Spain au sio?
Una shingapi tubet hapaTunaye sana huyo Messi
Kumbe utaratibu umebadilika?Half time
Ronaldo hana hat trick hata mojaWorld Cup Knockout hattricks:
Goncalo Ramos: 1
Bukayo Saka: 1
Lionel Messi: 0View attachment 3632485
sawaBe patient....
Anazurura anakagua matobo..😃😃Messi bwana anatembea tu uwanjani ila akipata nafasi ni kilio kwa timu pinzani.
Kwani si ndio ilivyo jamani au.
Kumbe utaratibu umebadilika?
Wawe makini hii sio kama mechi za nyuma.Ndio huwa wanaanza na low ball...karibia mechi zao zote walianza hivi.
Atakayepigwa goli hapa timu zitajiachia tu.Sijui ni presha ya fainali. Naona kama vile wanacheza kwa kuviziana.
Acha tuMkuu umeteseka sana haya mashindano😁😁
2030 anaweza akawepo uwezo anaoTunaye sana huyo Messi
Bado mapemaHivi ni mimi tu naiona hii mechi kama sio fainal vile imekaa kienyeji enyeji tu
😃😃😃mliopo kwenye huu uzi hakna hata mmoja ambae ni mod amfungie scars kukometn humu!? anaboa AF