comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,131
- 16,155
Huyu namba saba wa Spain anamuwakiisha babu wa kireno, cr7
Messi anachukua tena kiutani
Messi anachukua tena kiutani
Timu ambayo Haina short on target hata Moja ndio ishinde? Basi Mungu hayupoMessi anachukua tena kiutani
Hatimae mayai ya mbupu zenu wameyapasua 🤣🤣🤣Nayaweza yote kwa yeye anitiaye nguvu
Wafilipi 4:13
1-1 hiiHatimae mayai ya mbupu zenu wameyapasua 🤣🤣🤣