Mageuzi na mapambano katika taifa huletwa na watu kama Kiwelu. Tusisahau Bibi Titi alivyoshirikiana na Nyerere katika harakati za uhuru. Tuwa-encourage jamani.
Ujinga na kutokuelewa jambo ni vitu viwili tofauti..........mfano hii...Duh! Konda kusubiri gari liondoke ndio akimbilie ni ujinga sawa na kumwamsha mgonjwa usingizini ili umpe dawa ya usingizi. Hapa nikutokuelewa, lakini kwakuwa nia nikucheka, basi tucheke. Salute.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.