Hahaha tehe tehe duh inaonekana imeshakutokea mama wawili...vyema umetambua ingawa naona ni mazoea ya wengikusema excuse me unapopiga chafya wakati uko peke yako
kusoma thread ya kijinga na kukomenti. Nasi pia ni wajinga
Kuachia ushuzi wako mwenyewe na kutema mate mwenyewe ujinga!