mukandarasi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 932
- 275
Jamani hivi chama chetu makini kimeishiwa kabisa wabunge wanao weza kuona mapungufu kama hayo? Ifike wakati Mwigulu ukosoe serikali kuliko kutujaza chuki dhidi ya Chadama kila kukicha!Wengine wanadiriki kusema Mh.Mbatia anatafuta umaarufu!Bila shaka watu hao wanasomesha watoto wao katika shule za watakatifu kwahiyo hawaoni tatizo lililoko mbele.