Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,674
- 5,723
Kwa umri wa huyo Bi mkubwa inawezekana kuzaa..
Akiwa mjamzito wa mumeo na akajifungua mtoto..
Nawe uwe mjamzito ujigungue mtoto..
Hao watoto watajitambulishaje wakikuaa?
Ukijibu nakushauri na huo ushauri ninaamini lazima utakuwa na faida kwako..
Akiwa mjamzito wa mumeo na akajifungua mtoto..
Nawe uwe mjamzito ujigungue mtoto..
Hao watoto watajitambulishaje wakikuaa?
Ukijibu nakushauri na huo ushauri ninaamini lazima utakuwa na faida kwako..