Wakuu nataka kununua gari,,, nimeenda kwa be forward ili niagize hiyo gari,,, nikapewa profoma invoice ili nikalipie,, nikaambiwa Nina option mbili,, kulipia mojakwamoja be forward Japan,, au be forward Tanzania,,, naombeni msaada kwa walio na ujuzi na hii kampuni,,, IPI ni njia sahihi...