Barca
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,405
- 1,552
Nina kiwanja chenye ukubwa wa nusu eka kina nyumba mbili ndani yake zenye jumla ya vyumba 6 vya kulala. Kiwanja kina offer kabisa hakina mgogoro na kinalipiwa kila mwaka. Sababu ya kuuza mwenye nyumba anahamia Morogoro na pia ana matatizo ya kiafya hivyo atahitaji fedha kwa ajili ya matibabu. Bei yake ni milion 40. Mwenye interest ani pm nitamtumia picha WhatsApp. Nyote mnakaribishwa.