Hakika naweza shinda youtube naskiliza hio milio ya engine za Toyota 6 cylinder inanipa raha sana. Hata ile ya 1HD-T, 1HD-FT na 1HD-FTE i wish wajapani wangerudisha hizi engine kwenye ma VX V8 yale au wazitune Engine zake zilie kama 1HD.Sasa inji ya 1jz na 2jz ni balaa ukiisikiliza utafurahi mwenyewe
Celica yako ilikua Fwd?Ndio sio celica zote,hii celica niliivua enjine yake iliyokuwepo nikaweka hio 2jz
Hapana ilikua RWDCelica yako ilikua Fwd?
Bado mziki wa 3UR na na 1VD-FTE na FTVHakika naweza shinda youtube naskiliza hio milio ya engine za Toyota 6 cylinder inanipa raha sana. Hata ile ya 1HD-T, 1HD-FT na 1HD-FTE i wish wajapani wangerudisha hizi engine kwenye ma VX V8 yale au wazitune Engine zake zilie kama 1HD.
Vp mziki wa 3UZ-FE ?Bado mziki wa 3UR na na 1VD-FTE na FTV
Hatari sana mzee hayo madude yanavuta sana eeh. Yapo kwenye gari zipi?Bado mziki wa 3UR na na 1VD-FTE na FTV
Hiyo unafunga kwenye double coaster na inasukuma poa sanaMtasema yoote kiboko yao ni 1HZ hii mashine ipo ktk LandCuiser hardtop
Ni engine ambayo ngumu saana ina pulling ya uhakika
Bei yake tu mil12 tena used hapo imetumika
Mpya haishkiki
Sifa za cruiser zimekuja kutokana na engine ya 1HZ
Hiyo unafunga kwenye double coaster na inasukuma poa sana
I think for nissan is VR38DETTInajitahidi but 2JZ and RB26 are the greatest engines ever made by Japs.... Toyota and Nissan respectively.
Sio coaster zote zinazokuja na hiyo injini, sasa ukute coaster imefungwa injini hiyo halafu ina turbo, mbona mabasi ya Yutong hayakamati hapoSio kufunga
Hua inakuja nazo mkuu wa japan wajanja saana walioona uimara wa 1HZ wakatoa hizo double costa zikiwa na injin ya 1HZ
sasa ullizia bei ya hizo costani noowmaaa
Sio coaster zote zinazokuja na hiyo injini, sasa ukute coaster imefungwa injini hiyo halafu ina turbo, mbona mabasi ya Yutong hayakamati hapo
si kwel mkuu engine za 2H ni kizazi cha bj60's na sio VX wala V8 bali ni 6 cylinder ambazo ni 3980 cc =4.0LZipo costa zinazokuja na injin zenye turbo 2HT
Hizo injin ni za Landcruiser VX
Mkuu barabarani hio ni noowmaa
hahaaaa acha kujidanganya mkuu, hiyo 1hzj hata kwenye scania moja moja tatu haisimami.Sio coaster zote zinazokuja na hiyo injini, sasa ukute coaster imefungwa injini hiyo halafu ina turbo, mbona mabasi ya Yutong hayakamati hapo
Nilimwonyesha kama na mimi injini yangu iko vizuri manake alikua anapiga honi nimpishe utazani mimi sina haraka ila badae nikampisha aende zake sipendagi ligi barabarani
Hapo napinga mkuu, kipindi kile hakuna tochi za barabarani ile ruti ya Dar - Moro zilizokuwa zikiongoza hizo ruti ni double coaster sio hayo mascania unayosema wewehahaaaa acha kujidanganya mkuu, hiyo 1hzj hata kwenye scania moja moja tatu haisimami.