Recent content by killingmachine

  1. killingmachine

    Wakulungwa Pokeeni Taarifa Kutoka Kwa Mkemia Mkuu Wa Serikali

    hao si ndio walitegwa na mwendazake akawapelekea mapapai mihogo wakasema ina covid,ila dah yan mkemia anatuambua 50per cent wanachepuka
  2. killingmachine

    Mfumuko wa bei waongezeka kutokana na Bei ya Nyama, Gesi, Ngano na Maziwa ya unga

    Ngano kilo 25 imegonga 37000, m/kupikia usiulize inacheza kwenye 90000 lakini tutafika tu
  3. killingmachine

    Ukimshitaki Mzigua mkapelekana hadi Mahakamani, uwezekano wa Kushinda kesi ni zero percent

    sasa wewe hapa kwetu kwa msisi utushushie bungalow la maana ili utujambishe utuchukulie mademu zetu tunakupiga na zongo dakika tu
  4. killingmachine

    Hii ni aibu kubwa sana kwa Harmonize

    mleta mada povu kama lote khaaa?
  5. killingmachine

    Nini maana ya huu msemo "Hii nchi ngumu hii"?

    Mtoa mada inaonyesha wewe upo kwenye system,njoo mtaani mkuu utajua tu
  6. killingmachine

    TANZIA Nimefiwa na baba yangu mzazi

    controla mkuu pole sana Mungu akupe ujasiri
  7. killingmachine

    Uaminifu ni chanzo cha mafanikio

    ukiwa mwaminifu bongo hutoboi
  8. killingmachine

    Ushauri: Nataka kutumia mchango wa harusi kujenga nyumba

    Mkuu huo ni utapeli usiwe na mawazo hayo, wadau wako watamaind
  9. killingmachine

    Dar: Mauaji Lemax Bar Sinza kwa Remmy. Kabla ya kujiua, Alex Korosso alimpiga risasi Gift Mushi

    mkuu unaanzaje kuacha pombe? kata maji kama mamba,hao Mungu aliwapangia wafe ki-style hiyo
  10. killingmachine

    Jana mara yangu ya kwanza kwenda kazini na hirizi

    mkuu muda si mrefu utaenda kazini na ungo
  11. killingmachine

    Nimpe kiasi gani kama shukrani?

    kula naye mwana huyo,mzungu huyo mswahili angetaka kamisheni yake kabla hajakuunganisha na hiyo deal
Back
Top Bottom