Ukimshitaki Mzigua mkapelekana hadi Mahakamani, uwezekano wa Kushinda kesi ni zero percent

Nakwambia ukweli,

Uchawi wa Mzigua kwenye kesi ni hatari sana.

Ukishtakiana na Mzigua tegemea kushindwa vibaya sana! Kama wewe si mzigua mwenzie, au hutokei Tanga huko ndio balaa sasa

Kesi ya mzigua utasikia mashahidi wameshindwa kuongea, wamekuwa viziwi ila wakitoka nje ya mahakama wanaongea.

Utasikia File la kesi husika halionekani

Utasikia hakimu akiingia kwenye chumba cha kesi anabanwa na tumbo la kuhara.

Utasikia mashahidi wote wanakukana yani hatari tupu

๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข ๐ง๐š ๐ฏ๐ข๐ฆ๐›๐ฐ๐š๐ง๐ ๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ฆ๐š๐ก๐š๐ค๐š๐ฆ๐š๐ง๐ข,
ukizinguana na mzigua huku uraiani kama kugombea shamba, basi hilo shamba halitokaa liivishd zao lolote lile!!

Mzigua kama alivyo Muha kutoka Kigoma, ana uwezo wa kulima shamba na akaivisha katika eneo ambalo ni makazi ya nyani, na hao nyani wasiguse shamba lake ๐ข๐ฅ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐‰๐ข๐ซ๐š๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ค๐š๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ง๐š๐ฅ๐ข๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ

๐Œ๐ณ๐ข๐ ๐ฎ๐š, ukimuibia kuku, atakuacha umpike na umle! baada ya hapo atakufanyia kitu hutakaa usahau duniani. Kuku ataanza kuwika tumboni huko mpaka ukaombe msamaha!

Ukiishi Tanga huko uwe makini.

Mfano Handeni huko unaambiwa waganga ni wengi mno, kila baada ya nyumba 2, ya tatu ni ya mganga!

View attachment 1946681
Kwa maneno yako una maanisha hakuna Mzigua aliyewahi kufungwa gerezani?
 
sasa wewe hapa kwetu kwa msisi utushushie bungalow la maana ili utujambishe utuchukulie mademu zetu tunakupiga na zongo dakika tu
 
Nakwambia ukweli,

Uchawi wa Mzigua kwenye kesi ni hatari sana.

Ukishtakiana na Mzigua tegemea kushindwa vibaya sana! Kama wewe si mzigua mwenzie, au hutokei Tanga huko ndio balaa sasa

Kesi ya mzigua utasikia mashahidi wameshindwa kuongea, wamekuwa viziwi ila wakitoka nje ya mahakama wanaongea.

Utasikia File la kesi husika halionekani

Utasikia hakimu akiingia kwenye chumba cha kesi anabanwa na tumbo la kuhara.

Utasikia mashahidi wote wanakukana yani hatari tupu

๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข ๐ง๐š ๐ฏ๐ข๐ฆ๐›๐ฐ๐š๐ง๐ ๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ฆ๐š๐ก๐š๐ค๐š๐ฆ๐š๐ง๐ข,
ukizinguana na mzigua huku uraiani kama kugombea shamba, basi hilo shamba halitokaa liivishd zao lolote lile!!

Mzigua kama alivyo Muha kutoka Kigoma, ana uwezo wa kulima shamba na akaivisha katika eneo ambalo ni makazi ya nyani, na hao nyani wasiguse shamba lake ๐ข๐ฅ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐‰๐ข๐ซ๐š๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ค๐š๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ง๐š๐ฅ๐ข๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ

๐Œ๐ณ๐ข๐ ๐ฎ๐š, ukimuibia kuku, atakuacha umpike na umle! baada ya hapo atakufanyia kitu hutakaa usahau duniani. Kuku ataanza kuwika tumboni huko mpaka ukaombe msamaha!

Ukiishi Tanga huko uwe makini.

Mfano Handeni huko unaambiwa waganga ni wengi mno, kila baada ya nyumba 2, ya tatu ni ya mganga!

View attachment 1946681
Jana kwenye kesi ya Mbowe hakimu aliomba madirisha yafunguliwe kwa kuwa na joto kali!.... Inawezekana kulikuwa na mchanganyiko wa wazigua na waha mle?.;)
 
JF mnajikuta wengi hamuuamini uchawi na uganga lakini nilipotoa namba ya mganga kule nyamadoke Mwanza mkapiga watu shazi kishenzi..

Mwingine katoka mgodini huko geita karogwa na mfanyakazi mwenzie, mambo yamegoma.. kaja katibiwa mambo yamenyooka, mpaka leo hajalalamika tena!

msijikute wasooooomi

Dah Jf nako kuna wajomba nuksi kishenz..
 
Tanga
Nyumba1=shoga
Nyumba2=shehe
Nyumba3=mganga

Hivi kwanini wanawake wa Tanga hawana udambwiudambwi siku hizii?
acha propaganda mji uliostarabika hakuna izo mambo kabisa nenda huko kwenu tanga shoga wanapigwa sana mawe mpaka wafe sema ni kesi sana
 
Endeleeni kulishana matango pori na imani zenu za giza, mwaka 2013 nilienda kununua shamba huko, nilibahatika kupata ekari 50, baada ya kununua nilianza kusikia tetesi kwamba hautokaa ulime, na hata ukilima hautovuna, kwamba utaona mahindi yamebeba lakini ukivuna hupati kitu, au yataliwa na mchwa yote.
Sikuwasikiliza nikajaribu kulima kwanza ekari 10, nikafanikiwa kuvuna nimeendelea hivo na kwa sasa nalima mpka ekari 60, ikitokea mwaka umekuwa mbaya ni kwa sababu ya hali ya hewa na si uchawi.
Ikitokea mchwa umeibuka unadeal nao kwa madawa.
Kujidanganya eti mziguwa hashindwi kesi ni uwezo mdogo wa kufikiri ukichangiwa na makuzi uliokulia yanayoamini ktk waganga wa kienyeji.
 
Hamna ukweli wowote hapo, mi ninamashamba huko Handeni nalima na kuvuna bila kuonana au kuuliza habari za waganga wa kienyeji, ikiwa umejijenga kwenye kuamini ushirikina amini hivo. Lakini wale tusiamini pia tupo na tuna mafanikio
Kwa hio yasipokukuta wewe means wengine hayawakuti au hayapo kabisa?

we jamaa una masikhara! mi nimeishi Tanga mzee naandika vitu najua!

Ishu za zongo nazijua sana
ishu za vibwengo nazijua sana na vibwengo nishakutana navyo sana huko milima ya usambara korogwe huko

waulize wanaotokea mashewa huko kwa shambalai watakwambia!

waulize watanga watakwambia Maji Marefu ni nani...

kaka hujafa hujaumbika! kua uyaone
 
Nakwambia ukweli,

Uchawi wa Mzigua kwenye kesi ni hatari sana.

Ukishtakiana na Mzigua tegemea kushindwa vibaya sana! Kama wewe si mzigua mwenzie, au hutokei Tanga huko ndio balaa sasa

Kesi ya mzigua utasikia mashahidi wameshindwa kuongea, wamekuwa viziwi ila wakitoka nje ya mahakama wanaongea.

Utasikia File la kesi husika halionekani

Utasikia hakimu akiingia kwenye chumba cha kesi anabanwa na tumbo la kuhara.

Utasikia mashahidi wote wanakukana yani hatari tupu

๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข ๐ง๐š ๐ฏ๐ข๐ฆ๐›๐ฐ๐š๐ง๐ ๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ฆ๐š๐ก๐š๐ค๐š๐ฆ๐š๐ง๐ข,
ukizinguana na mzigua huku uraiani kama kugombea shamba, basi hilo shamba halitokaa liivishd zao lolote lile!!

Mzigua kama alivyo Muha kutoka Kigoma, ana uwezo wa kulima shamba na akaivisha katika eneo ambalo ni makazi ya nyani, na hao nyani wasiguse shamba lake ๐ข๐ฅ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐‰๐ข๐ซ๐š๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ค๐š๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ง๐š๐ฅ๐ข๐ฐ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ

๐Œ๐ณ๐ข๐ ๐ฎ๐š, ukimuibia kuku, atakuacha umpike na umle! baada ya hapo atakufanyia kitu hutakaa usahau duniani. Kuku ataanza kuwika tumboni huko mpaka ukaombe msamaha!

Ukiishi Tanga huko uwe makini.

Mfano Handeni huko unaambiwa waganga ni wengi mno, kila baada ya nyumba 2, ya tatu ni ya mganga!

View attachment 1946681
Ukiwa hutaki kujenga kwenu lazima utasingizia kurogwa, zamani watu wa Tanga mjini walikuwa hawataki kujenga kwao wakawa wanasingizia kurogwa, mji wa Tanga ukawa na nyumba mbofumbofu! Walipoona wachaga wanajenga na hawafi nao wakaanza kujenga kwa kuona aibu.
 
Kwa hio yasipokukuta wewe means wengine hayawakuti au hayapo kabisa?

we jamaa una masikhara! mi nimeishi Tanga mzee naandika vitu najua!

Ishu za zongo nazijua sana
ishu za vibwengo nazijua sana na vibwengo nishakutana navyo sana huko milima ya usambara korogwe huko

waulize wanaotokea mashewa huko kwa shambalai watakwambia!

waulize watanga watakwambia Maji Marefu ni nani...

kaka hujafa hujaumbika! kua uyaone
Siamini ktk upuuzi na sihitaji kumwuliza mwanadam ktk hili zaidi ya Mungu
 
Back
Top Bottom