Hii ni aibu kubwa sana kwa Harmonize

Mayunga234

JF-Expert Member
Feb 17, 2017
1,726
1,989
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi

Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo

Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki

Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu

Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)

Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa

Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee

Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa

Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi

Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda

Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)

Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
 
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi

Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo

Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki

Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu

Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)

Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa

Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee

Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa


Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi


Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda


Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram anafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)
Huyo Mr Korosho anafake sana maisha
 
Mtoa mada akijimwambafai jf
IMG_20210917_184023.jpg
 
Mmakonde ni mmakonde tu!!!

Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi

Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo

Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki

Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu

Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)

Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa

Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee

Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa


Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi


Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda


Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram anafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)
 
I have a better life than ya huyo harmo mayb alichonizid ni Ustar tu nothing else na Siwez kuwa na Wivu kwa ndezi Kama yeye bora niwe na Wivu na bill gate naweza kujfunza kitu kuliko huyo Kik Digger
Mmh,
Hebu Punguza kwanza jazba mkuu..
IMG_20210917_184735.jpg
 
Back
Top Bottom