Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi
Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo
Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki
Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu
Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)
Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa
Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee
Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa
Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi
Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda
Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)
Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi
Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo
Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki
Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu
Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)
Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa
Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee
Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa
Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi
Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda
Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)
Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity