Nimefurahi kwa uchambuzi wako wa kina.Naona watu wanaichezea sana amani hii.Yanayotokea Somalia,Ethiopia,Eritrea,Sudan,Kenya,Nigeria ni kwa sababu ya chokochoko hizi za kidini zinazoanzishwa na vikundi vya dini hii.Ni dhahiri sio waislam wote ni wapenda shari haswa wqle wakioelimika .Wanajua na...