Recent content by Kilaza Flani

  1. K

    Baraza la mitihani wawajibishwe

    Embu mpost matokeo ya zaman,na hayo mapya kumaliza ubishi!
  2. K

    Ni password au anatafuta sababu?

    Easy..sign up email mpya,hamisha mawasiliano yako!!den mpatie ya anayoijua yeye!!
  3. K

    Binti akatwa titi (ziwa) lake akiwa amelala bila kujijua!!!!

    Miaka kumi na mbili ana titi la kukatwa?duh
  4. K

    Walipa kodi mko wapi?charaza bakora wote,wanasiasa na madaktari!!

    Majeshi yanasubir raia waandamane ndo yajitokeze kuwakandamiza..mwananchi wa kawaida hana mkomboz nchi hii
  5. K

    Walipa kodi mko wapi?charaza bakora wote,wanasiasa na madaktari!!

    Mnalipa..tena kwa kiasi kikubwa coz fungu lenu ni kubwa ukicompare na kima cha chini na sekta zingne!! Ila mmekosa huruma kwa wananchi ambao ndo wanaowawezesha iyo mishahara..na mnademand more kwa kuwaumiza hao hao walalahoi!!
  6. K

    Mr. President, your response to doctors' strike is tepid!

    Wanasiasa wanaahidi kila kitu..ni muda wa kuachana na 'matamko' na kuchukua ufanisi..why tuumie kwa kusubir promise ya raisi?
  7. K

    Walipa kodi mko wapi?charaza bakora wote,wanasiasa na madaktari!!

    Hawa watu wanaweka matumbo mbele afu wanamsahau mlipa kodi ambae ndo anawawezesha..wote wasaliti,dawa yao ni bakora mtindo mmoja!
  8. K

    Facebook moja wapo ya visababishi vya mahusiano mengi ya kimapenzi kuvunjika

    Facebook bana..unajichukulia tu,km ulivozipanga..unatumia muda mwingi..unamsifia sana..unamalizia na kuflirt,ushabeba chombo!!so sio kuvunja tu,pia kuanzisha mapya!!
  9. K

    Hivi mkoje nyie wanaume

    nyie mbna mnachagua wenye hela si hatusemi!!!??
  10. K

    Kaniahidi upendo anafunga ndoa leo

    hahahahahah..atangoja sana
  11. K

    Mliooa mlipata wapi wake zenu?

    nimekusoma mkuu
Back
Top Bottom