Kilaza Flani
Member
- Oct 27, 2011
- 61
- 2
Hawa watu wanaweka matumbo mbele afu wanamsahau mlipa kodi ambae ndo anawawezesha..wote wasaliti,dawa yao ni bakora mtindo mmoja!
Hawa watu wanaweka matumbo mbele afu wanamsahau mlipa kodi ambae ndo anawawezesha..wote wasaliti,dawa yao ni bakora mtindo mmoja!
kwani siye atulipi kodi mkuu?
Walipa kodi wajichape wenyewe bakora kwa kuweka madarakani serikali ya kizembe!
Wako wapi washika bakora?!, au nao wamehongwa posho kimyakimya kwahiyo wanawaacha walipa kodi wafe kama sisimizi?!. Mimi nitaendelea kuhoji, majeshiyetu yakowapi yanaacha raia waliapa kuwalinda wakifa kama pungo?!.