Kwa sasa hivi hiyo lisaa limoja ni kama kutoka Mbeya Mjini hadi Chimala labda
Kutoka Mbeya Mjini mpaka Ubaruku ni karibia masaa mawili kasoro au mawili kamili
Aende SUA au UDOM
Ualimu wa Chemistry na Biology
Kwasababu ndizo alizofaulu nazo kwa mazingatio ya principal pass zake yaan D mbili
Hatoweza kusomea ualimu wa Physics with either Chem or Bios kwasababu ya E ya Physics
Physics ishamtema automatically, zingatia principal pass mbili alizonazo ni Chemistry na Biology kwahiyo ni lazima kusomea ualimu kulingana principal pass zake
Hiyo E ya Physics ishamtoa kwenye mfumo auto
Kwa Replies hizi kwenye uzi huu nime prove kwamba Watanzania wengi ni weupe kichwani....
Yaan its a matter of understanding tuu, ila sasa kila mtu anaeleza kivyake wakati statement ni moja.
Watanzania tumezidi ujuaji asee, af sasa hatujui kitu...
Sasa Mkuu, Wailes Secondary form two wao walikua 611 kati ya hao waliofeli 187 ni kama 30% ya watoto wote of which watoto 70% wameendelea na form three
Mbona data zipo sawa tuu kwa shule zetu hizi za kata
Ndugu PainKiller nafikiri kuna kitu haukijui
Binafsi ni moja kati ya watu ambao nilibahatika kuajiriwa na kufundisha moja kati ya shule ambayo ipo top ten hapo inaitwa Bright Future Girls ipo Mbondole - Serikali ya Mtaa Manispaa ya Ilala Jijini Dar Es Salaam mwaka jana 2021
Kiukweli hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.