josephwaara
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 304
- 637
Wakuu nimeombwa ushauri ulio juu ya uwezo wangu, dogo ana three ya 13 PCB, EDD ni msichana.
Nmemshauri km ni education aende phys na chem bios aspire chini kwa sbb za kibiashara.
Hapo kwenye vyuo nmemwambia anipe muda niwaulize wataalam wangu.
Shukrani.
Nmemshauri km ni education aende phys na chem bios aspire chini kwa sbb za kibiashara.
Hapo kwenye vyuo nmemwambia anipe muda niwaulize wataalam wangu.
Shukrani.