Recent content by KIBUKUSA

  1. K

    Watanzania wengi wana uwezo ila hawanunui mashine za kufulia

    Hizi mashine kuna feki kama vifaa vingine vilivyo, mashine ya kuanzia milioni hutajutia na brands za maana kama LG, SUMSANG, WHIHPOOL, BOSCH etc hizi brands kama hisense westpoint hapana. Natumia haya makitu miaka kumi sasa. Tena nguo chafu inafanya vizuri kuliko mikono.
  2. K

    Gari kuandikiwa faini hewa na kulazimishwa kulipa

    Gari yangu iliandikiwa faini hewa. Gari ipo Arusha lakini iliandikiwa faini mkoani Shinyanga. Polisi wanasema hawawezi kufuta hiyo faini. Nifanyeje?
  3. K

    Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

    Pombe zote zina madhara hasa unywaji wa kupindukia. Tatizo la pombe hizi ni bei zake rahisi na kilevi chake ni juu. Watumiaji wengi hawajali lishe/ hawana uhakika na chakula. Wanaishia kulewa na mwisho kudhoofu....
  4. K

    Matokeo ya Utafiti wa matumizi ya Juisi Ya Miwa Waibua Hofu Kubwa Jijini Mwanza

    Bongo siyo ajabu, mnakumbuka mwendazake na kupatikana kwa covid kwenye Mapapai baada ya kufanyiwa uchunguzi wa maabara! Juice za miwa tunazigonga kila uchwao na miwa inaliwa kila siku. Hii ni ajabu....
  5. K

    Serikali iondoe vibanda vilivyo Mbele ya Biashara nyingine Kariakoo, hali mbaya

    Hili kundi lilitumika kama mtaji wa siasa, limekuwa ni kero baada ya kuaribu swala zima la mipango miji. Watu wamehamia mijini kwani sehemu yoyote waweka biashara, hakuna maegesho. Turudi kwenye taratibu.
  6. K

    Laptop computers 10 zaibwa shule ya sekondari Moshi Technical - Mkoa wa Kilimanjaro

    Mbona kama hueleweki, jipange kwanza kama majungu fulani hivi! Kachape kazi.......
  7. K

    Tambua siri ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari

    Hizi shule ni shiiida. Utamkuta mtu kama huyu, spika kubwaaa sokoni anahubiri. Taifa linaangamia kwa kukosa maarifa.
  8. K

    Sheria ya taa za sportlight kwenye magari

    Juzi nililazimishwa na askari wa barabarani kufunika taa za ukungu baada ya mabishano ya muda mrefu. Alitaka kunilima notification lakini nikamuwahi kwa hela ya kubrashi viatu. Sasa kwenye hili jukwaa lazima kutakuwa na mdau wa hili. Hii sheria inahusu taa za mwanga mkali ama hata hizi za...
  9. K

    Local channels kuuzwa 55,000/= STARTIMES

    Jana nilienda ofisi za startimes hapa jijini Arusha. Katika maongezi na mto huduma pale nikakuta aina mbili za vingamuzi tofauti yake ni colour strips. Yaani kimoja kinaruhusu free local channels na kingine zinaondoka mara malipo ya kila mwezi yakiisha. Kuhusu vingamuzi vya zamani ili viwe na...
  10. K

    Wino wa Kujaza printer

    Nenda Galaxy computers, barabara kuelekea Noble house ukitokea Benson and company. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Natafuta Fundi wa simu

    Nini?mbona hueleweki... nina mashine ya samsung!
  12. K

    Mwenye uelewa gari langu linapandisha temperature katika engine

    Thermostat laweza kuwa tatizo. Cheki na fundi aifungue aangalie kwa maji moto kama inafungua ama siyo.
  13. K

    Ni kweli kuku wa mayai hutaga mara mbili kwa siku?

    Siku hizi wanaojiita wajasiriamali kwenye ufugaji ni wengi. Wanadanganyana vibaya mno mwishowe mfugaji anategemea very big profit. In reality siyo hivyo. Yangekuwa mayai mawili tungekuwa matajiri wakubwa mno. Yaani hata ukiwapa chakula kila saa. Ni yai moja tu...
Back
Top Bottom