Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Hao watu ni wengi, na tayari maisha yao yapo hapo.
Inatakiwa kabla ya kuwaondoa watafutiwe eneo ambalo watapata wateja kama ilivyo maeneo waliyopo sasa. Kusema huruma haihitajiki kisa ni maendeleo ya nchi tutakuwa tunajaribu kufufua ukatili ambao tunajitahidi kuuzika.
Hao wana familia, kuwaondoa hapo ni sawa na kuanza kuwalaza njaa.
Hebu jaribu wewe ulale njaa kabla haujapendekeza mwenzako alale njaa. Tuache ukatili.
Walakini hayo maduka hayajazibwa na hivyo vibanda kiviile,, mtu akitaka kuingia dukani mbona anaingia tu??
Inatakiwa kabla ya kuwaondoa watafutiwe eneo ambalo watapata wateja kama ilivyo maeneo waliyopo sasa. Kusema huruma haihitajiki kisa ni maendeleo ya nchi tutakuwa tunajaribu kufufua ukatili ambao tunajitahidi kuuzika.
Hao wana familia, kuwaondoa hapo ni sawa na kuanza kuwalaza njaa.
Hebu jaribu wewe ulale njaa kabla haujapendekeza mwenzako alale njaa. Tuache ukatili.
Walakini hayo maduka hayajazibwa na hivyo vibanda kiviile,, mtu akitaka kuingia dukani mbona anaingia tu??