Atapoteza muda tu Kama Ni buku 30k alipe tu aendelee na mishe za kutafutaKawashitaki
Peleka malalamiko yako, wanalodawati trafikiGari yangu iliandikiwa faini hewa. Gari ipo Arusha lakini iliandikiwa faini mkoani Shinyanga. Polisi wanasema hawawezi kufuta hiyo faini. Nifanyeje?
Trafiki akalalamikiwe kwenye dawati la trafikiPeleka malalamiko yako, wanalodawati trafiki
Na wanafanya hivyo kwa vile wanajua hatuna mahakama zenye uwezo wa kusimamia mashtaka dhidi ya serikali. Vinginevyo ni case ya kuidai fidia kubwa.Atapoteza muda tu Kama Ni buku 30k alipe tu aendelee na mishe za kutafuta