Recent content by Kibubumo

  1. K

    Kwako Mh Cyril Chami

    Subash bhai huenda bado yuko apolo, ila kiukweli mnapata taabu mana mdawi hakupitiki wkt wa mvua kilio chenu kimemfikia, diwani ni wa ccm au cdm, yabidi ajulishwe nyumbani ni nyumbani na inabidi akupe first priority
  2. K

    Ujenzi wa nyumba mpya Kaloleni Mbunge Lema yuko sahihi

    Ngongo nakubaliana nawe saaaana mm pia ni mkazi wa ololo, nimezaliwa hapo mama mushi ameuza saaana vitumbua ktk K.11pia mama mzungu alikuwa anafanya kazi lion tours haiwezekani wao wauziwe kinyemela ss walalahoi ndio tutolewe kama ni wakimbizi ktk nchi yetu, namwomba mbunge LEMA AFWATILIE KWA...
  3. K

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    mpaka ss tz bara tuna zaidi ya miaka 45 ya muungano na visiwa vya pemba na unguja, ss tz bara tunafaidika nn hasa na huu muungano? Binafsi sioni sbb ya kuendelea kuwa nao. Naomba mowazo chanya zaidi
  4. K

    Ofisi za Uhamiaji Kurasini kulikoni?

    Labour wako easy sana wahandisi waliokuwepo TOL sio mchezo lakini labour uhamiaji wanahongeka kiulaini, na tutahakikisha mpaka walinzi wa kufungua mageti ya tol wanatoka kenya we subiri 2012 uone balaa letu watoto wa kibaki
  5. K

    Ofisi za Uhamiaji Kurasini kulikoni?

    Njoo Tanzania Oxygen uone ss wakenya tulivyowaondoa wtz ktk ajira kulikuwa na wahandisi wazawa wazuri sana mpaka ss wakenya tunajiona tuko shallow ila tumefanya fitina
  6. K

    Ofisi za Uhamiaji Kurasini kulikoni?

    Wana JF ur contribution are highly needed on this matter please
  7. K

    Ofisi za Uhamiaji Kurasini kulikoni?

    Baaelezee kaka waelewe, kuna mambo mazito yamejificha ambayo ni ss wenyewe tunaotakiwa kuyalipua
  8. K

    Ofisi za Uhamiaji Kurasini kulikoni?

    Sajenti nikusaidie huyu mama anaitwa Mama PAMBE na mkurugenzi ni Shayo
  9. K

    Hoja iliyo na changamoto

    ndio hivyo tena 2naelekea mwisho wa 2011, ni thread ipi ktk hoja na habari mchanganyiko iliyoongoza ktk 2011??
  10. K

    Mafagio ya lowasa mnatia bidii

    Weka uwiano kati ya mazuri ya EL na mabaya aliyofanya then come back with ur argument uncle
  11. K

    Kila la kheri katika mwaka mpya wa 2012

    Wapendwa wana jf wenzangu napenda kuwatakia kila la kheri katika mwaka mpya wa 2012, mwenyezi MUNGU mwingi wa rehema azidi kutubariki katika kila jema tufanyalo katika yeye. Once again WISHING U ALL A HAPPY AND PROSPEROUS NEW YEAR 2012.
  12. K

    Lubuva Mwenyekiti mpya Tume ya Uchaguzi!

    :flypig: No comment on this let me run away
  13. K

    Mbunge wa Dom Mjini

    Sithubutu mana ana mke dom na kimada dar
  14. K

    Mbunge wa Dom Mjini

    maisha binafsi je
Back
Top Bottom