Mh Sirily Chami mbunge wa Moshi vijijini, heri ya mwaka mpya, kaka sisi wanakijiji wa Old Moshi hasa Mdawi tunapata taabu maana ahadi zako haujatimiza hata moja, barabara ya Mdawi mpaka Mengeni kaka ikipiga hata tone la mvua tunapata taabu kupita maelezo.
Tafadhali tekeleza ahadi zako otherwise 2015 ubunge chora chini mana hatuwezi kurudia makosa. Hata moram unashindwa kutuwekea?? Hainiingii kwa akili mimi.
Barabara ya Kiborloni inapitika throughout the year Sango hali kadhalika, Shia kama kawaida, iweje barabara ya Mdawi ni tatizo??? Kaka jitahidi ukweli wana Mdawi hatuna hamu na ubunge wako kama vipi tema mzigo CDM wafanye kweli kaka, mana ukiwa na maiti then kuna mvua lazima kubeba kichwani.
Kero nyingine ni shule; hatuna maabara vijana toka Mdawi lazima waende mpaka Komakya hiyo ni Shia kwanini hautuwekei shule ya sekondari pale Mdawi??
Wana jf naomba kuwasilisha
Tafadhali tekeleza ahadi zako otherwise 2015 ubunge chora chini mana hatuwezi kurudia makosa. Hata moram unashindwa kutuwekea?? Hainiingii kwa akili mimi.
Barabara ya Kiborloni inapitika throughout the year Sango hali kadhalika, Shia kama kawaida, iweje barabara ya Mdawi ni tatizo??? Kaka jitahidi ukweli wana Mdawi hatuna hamu na ubunge wako kama vipi tema mzigo CDM wafanye kweli kaka, mana ukiwa na maiti then kuna mvua lazima kubeba kichwani.
Kero nyingine ni shule; hatuna maabara vijana toka Mdawi lazima waende mpaka Komakya hiyo ni Shia kwanini hautuwekei shule ya sekondari pale Mdawi??
Wana jf naomba kuwasilisha