Sijui ina maana gani kwa kweli - ni kwa ajili ya mchakato wa Katiba Mpya au ni kupokezekana kwa sababu ya kupokezana. Sina sababu ya kumpongeza bali namtakia pole kwa kuingia kwenye ukuti ukuti wa CCM. Zamu yake tu "kuingia upepo". Akitenda haki atapongezwa so far. Nasema karibu.
Nafikiri hii sio tume ya taifa ya uchaguzi, bali tume ya yule anaye wateua wanayoiunda!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mheshimiwa Jaji (Mstaafu) Damian Lubuva kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Kwa kweli, kazi hiyo siyo ndogo ya kukabidhi nchi kwa chama kisichozoeleka. He has to be humble to roll up his sleeve for this taunting task.Sijui ina maana gani kwa kweli - ni kwa ajili ya mchakato wa Katiba Mpya au ni kupokezekana kwa sababu ya kupokezana. Sina sababu ya kumpongeza bali namtakia pole kwa kuingia kwenye ukuti ukuti wa CCM. Zamu yake tu "kuingia upepo". Akitenda haki atapongezwa so far. Nasema karibu.