Mbunge wa Dom Mjini

Mbunge wa Dom Mjini

Muanzisha mada anaonekana mbea mbea hiviii..., mtu wa taarabu sanaaa na magamba magambaaaa. Mteja wa magazeti ya shigongooo... In short mdaku.
 
Kibubumo, kwani wewe ndie Nehemiah Madeje?
Nauliza tu?
 
Wagogo Dom ni kama Waruguru pale Moro, kila wakifanya kale ka-ubaguzi eti tumchague wa kabila letu "inakula kwao". Hadi watakapoacha hii dhambi ndo waendelee. Huyo Madege niliwahi kusikia alitangaza kutogombea tena, mara akapata ma-bush lawyer wakamshauri agombee. Ndipo hapo wagogo walipompiga kibuti cha mbavu. Kuna yule alokuwa meya wa Dar alienda kugombea huko, sikumbuki kipi kilimpata.

Meya alimwaga pesa ya kutosha 'rushwa' kwenye harakati ya kura maoni, hadi wenzake waliokuwa pamoja kwenye kura ya maoni wakaungana kumsapot mmoja wao ndo huyu wa sasa akapata, pia huyo meya ni mrangi na hapa hadi upate ubunge ka sio mgogo sahau....Na hili jimbo ni kama hamnaga mbunge kila anayepita haoni uhakika wa kukaa vipindi viwili vya ubunge kwa hiyo anaona bora achume aondoke.
 
Sithubutu mana ana mke dom na kimada dar

Huyo kimada lazima atakuwa ndugu yako, na fungu alilokuwa anatoa kwa kimada limepungua na athari yake imewakuta hadi nyie wanandugu wa kimada.
 
Back
Top Bottom