Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Wapendwa naomba aliye na taarifa za aliyekuwa mbunge wa dodoma mjini Nd Efraim Nehemia Madeje atujuze kidogo
mkuu una dada mjane unataka kumpigia debe nini?
Wapendwa naomba aliye na taarifa za aliyekuwa mbunge wa dodoma mjini Nd Efraim Nehemia Madeje atujuze kidogo
Wapendwa naomba aliye na taarifa za aliyekuwa mbunge wa dodoma mjini Nd Efraim Nehemia Madeje atujuze kidogo
Sithubutu mana ana mke dom na kimada darmkuu una dada mjane unataka kumpigia debe nini?
anatenda ya kusambaza kuku katika hotel mbalimbali hapa mjini dodoma
Wagogo Dom ni kama Waruguru pale Moro, kila wakifanya kale ka-ubaguzi eti tumchague wa kabila letu "inakula kwao". Hadi watakapoacha hii dhambi ndo waendelee. Huyo Madege niliwahi kusikia alitangaza kutogombea tena, mara akapata ma-bush lawyer wakamshauri agombee. Ndipo hapo wagogo walipompiga kibuti cha mbavu. Kuna yule alokuwa meya wa Dar alienda kugombea huko, sikumbuki kipi kilimpata.
nasikia ana hoteli ya hatari pale dom chali yangu
Kibubumo, kwani wewe ndie Nehemiah Madeje?
Nauliza tu?
Sithubutu mana ana mke dom na kimada dar