Wapendwa naomba aliye na taarifa za aliyekuwa mbunge wa dodoma mjini Nd Efraim Nehemia Madeje atujuze kidogo
Akujuze nini?
nataka taarifa zake kiundani kwa nn hakugombea ubunge tena nk, we kama haujui kaa kimya
Dom hakuna mbunge mpaka leo.
nedha dodoma ukamuulize.... au cheki na makada wa CCM dodoma wakutaarifu,nataka taarifa zake kiundani kwa nn hakugombea ubunge tena nk, we kama haujui kaa kimya
ni ya kwakenasikia ana hoteli ya hatari pale dom chali yangu
nasikia ana hoteli ya hatari pale dom chali yangu