Uko sawa kabisa...watu wamekazana uzalendo mara wito...uzalendo wangekua nao hao wanaolilia laki 3 za bure kwanza...kila mtu na maamuz yake anayoona yanamfaa
Karma ni matokeo ya matendo ya mtu aliyokuwa anayafanya...yanaweza kuwa mazuri au mabaya...kama vile malipo ya uliyokuwa unafanya...kama ulifanya mambo mabaya, utalipwa ubaya na kinyume chake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.