Recent content by kibibikizee

  1. K

    Tuchambane hapa

    Ahahah twende twende...kwenu mpo weng mpaka wa mwisho anaitwa e.t.c
  2. K

    Binti amjibu mama yake, ndio maana baba ana mwanamke mwingine

    Hahahahaha amwambie hivyo kabisa?!? "mama yako ni mtamu sana"....
  3. K

    Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

    AJUA MUNGU NG'OMBE NI WANGU nilisoma nae middle school!!! Dah...noma sana hahahahaha
  4. K

    Sina hamu na mume wangu

    Na watu weng wanavumilia mambo ya ajab sana huko kwny ndoa zao kisa huyo mume ndo kila kitu...dada kaolewa,familia yote macho hapo
  5. K

    Leo Asubuhi Nikiwa Ubungo bus terminal....

    Angalia galery kama kuna picha picha huko...teh teh:D:p
  6. K

    Niliupenda ualimu ila kunipanga serengeti ujasiliamali umenipenda zaidi;

    Uko sawa kabisa...watu wamekazana uzalendo mara wito...uzalendo wangekua nao hao wanaolilia laki 3 za bure kwanza...kila mtu na maamuz yake anayoona yanamfaa
  7. K

    Sina hamu na mume wangu

    Dada una moyo...mm ningelipua hyo ofisi na petroli..loh!!:eek::thumbdown:
  8. K

    Hivi KARMA ina maana gani?

    Karma ni matokeo ya matendo ya mtu aliyokuwa anayafanya...yanaweza kuwa mazuri au mabaya...kama vile malipo ya uliyokuwa unafanya...kama ulifanya mambo mabaya, utalipwa ubaya na kinyume chake.
  9. K

    Iringa sehemu nyingi zinaanza na "I" Nini maana yake?

    Na maeneo meng pia yanaishia na O au LO...mf. Ipologolo,isakalilo,kilolo,kihesa kilolo,etc
  10. K

    Movie zangu kali za utotoni!

    Family matters,prince of bell air,home alone,bill cosby show,etc
  11. K

    For JamiiForums Mobile users

    Hahaha umeniacha hoi
Back
Top Bottom