J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 3,139
- 2,635
kwenu wachoyo mpaka mkimeza mate mnajificha
Ati kwenu mnakulaga ugali kwa picha ya samaki ni kweli?.
kwenu wachoyo mpaka mkimeza mate mnajificha
kwenu wachoyo mpaka mkimeza mate mnajificha
Una sura ngumu kama futari ya magimbi...
Ati kwenu mnakulaga ugali kwa picha ya samaki ni kweli?.
kah! Kama mimi nalia aisee,haiwezekani
Vidole kama karoti
Uso umejaa Chunusi kama fenesi
kama nyie mnavyokunywagwa chai (ya bila sukari) kwa stori za sukari ya kilombero
Duuuh! Kumbe unataka eeeh! Twende
Sura kama umeonja ndimu
Masikio kama ungo wa DSTV
hahaha mweusi hadi ukijiangalia kwenye kioo kinakwambia "please wait"
Nawewe unamaskio kama flampeni la kukaangia vitumbua
Una damu tamu mpaka mbu huja na vitafunwa kabisaaa