Tuchambane hapa

Tuchambane hapa

Duuuh! Kumbe unataka eeeh! Twende
Sura kama umeonja ndimu
Masikio kama ungo wa DSTV
Twende twende....unatembea vibaya mpaka ukiwa unaenda mtu anajua unakuja...
 
Patrickn anasema, una ulimi mrefu ka buti ya Wasira. Search Google uione ni Nouma I see!.
Nawewe unamaskio kama flampeni la kukaangia vitumbua
 
twende
1 mkewako m nene hadiakivaa shati jekundu watu wanajua kibanda cha M PESA
2kwenu kuchafu hadi mende wanakuja na viatu
 
I don't belong here ... utoto mwingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom