Recent content by keyonce

  1. K

    Wanaume wa Dar ni akina nani?

    Wanaona fahali kukaa sehemu za starehe mpaka usiku wa manane na hurudi kwa wake zao late nyt... na vile wanaona kuchepuka dili...
  2. K

    Design Failure: Bagamoyo Road eneo la Samaki wabichi

    Ahaaa, hayo maji yamekosa njia hata ya kuelekea baharini means kuna njia ya maji hapo bomoa bomoa ndo only solution kwa hiyo sehemu, maji yapate njia yake... hata kama wakieka opening kubwa bado yanatakiwa yacross yapete njia ya kuelekea baharini na eneo lile lote lina nyumba za watu. So sio...
  3. K

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    1. Tengenezesha tololi afu ufanye mobile genge, unauza vitu mboga mboga, I mean karoti, vitunguu, nyanya, hoho, etc yaani mamboga mboga in general 2. Tafuta bustani ulime mboga mboga za biashara, kama mchicha, chainizi, sukuma wiki, cabbage etc afu unaziuza 3. Nenda karikakoo kanunue urembo...
  4. K

    Tanzania Construction Bank

    Hivi ni kwanini serikali yetu hii ya Tanzania isitufungulie watanzania bank ya wakandarasi tu, iwepo kwa ajili ya kufinance miradi wanayopata wakandarasi. pale mkandarasasi anapopata mradi anakuwa na uhakika wa kupata finance kutoka kwenye hiyo benki ya wakandarasi wa kitanzania kwa kutumia hiyo...
  5. K

    Nani zaidi: Mkuu wa Mkoa au Meya wa jiji?

    Mkuu wa mkoa
  6. K

    Wanawake nani kawaambia mnapendeza kuvaa saa za kiume?

    Na wewe nani kakwambia tukivaa saa za kiume hatupendezi?
  7. K

    Vivuko vya waenda kwa miguu kwenye hii barabara ya Moroco-Mwenge

    na hata wao wenye magari vile vile wanahatari ya head to head collision wangeweka hata boundary ya kutenganisha basi hata kwa toe wall hapo kati maana ya wanaoenda upande mwingine hawawezi ingiliana na upande mwingine. ile bara bara ni hatari sana kwa sasa kwa wavuka miguu na wenye magari vile...
  8. K

    Vivuko vya waenda kwa miguu kwenye hii barabara ya Moroco-Mwenge

    kwakuwa wavukaji ni wadogo unaona ni sawa tu usalama wao ukiwa hatarini? na kwa sasa majengo mengi ya ofisi yanajengwa so kwa mbeleni watakuwa wengi hivyo nimuhimu yakawekwa sasa... maana ni hatari sana kuivuka ile barabara
  9. K

    Vivuko vya waenda kwa miguu kwenye hii barabara ya Moroco-Mwenge

    hizo taa za kutosha kwa ajili ya waenda kwa miguu tu ama?
  10. K

    Vivuko vya waenda kwa miguu kwenye hii barabara ya Moroco-Mwenge

    sio daraja moja, atleast pale kwenye wavukaji wengi wanaweka kama section ya bamaga mpaka mwenge waweke moja, alafu makumbusho waweke moja na Victoria waweke moja. jumla matatu
  11. K

    Vivuko vya waenda kwa miguu kwenye hii barabara ya Moroco-Mwenge

    Barabara ya Morocco - Mwenge imekuwa pana sana kiasi kwamba inakuwa ngumu sana kwa wale wanaotembea kwa miguu kuvuka barabara kutoka upande mmoja kwenda mwingine ukizingatia ni ngumu sana kwa magari kusimama kwenye zebra na kuruhusu waenda kwa miguu kupita. Maoni serikali iliangalie hili na...
Back
Top Bottom