Wanawake nani kawaambia mnapendeza kuvaa saa za kiume?

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,668
40,914
Hii tabia yenu imenikera sana, nimeivumilia sasa nimeona bora niwaambie tu mkae mkijua kuwa hatuipendi.

Mlianza kuvaa suruali, tumekaa kimya, mmetaka usawa tumekaa kimya, mmekuja kwenye hili la kuvaa saa za kiume kabisa.

Unakuta binti na msaa mkubwa wa kiume anadhani kapendeza kumbe anajiabisha tu.

Muda si mrefu mtaanza kututongoza na kutuoa kabisa.

Sasa msidhani kua tunapenda kutuigiza kila jambo tunalofanya.

Inatukera sana, fanyeni yenu na jueni nafasi yenu, sio kutwa kucha kujaribu kujijlinganisha na sisi.

Alaa.
 
Mwanaume aliekamilika na anajiamini kwamba yeye mwanaume wa Shoka kamwe hawezi kukereka na ishu ndogo kama hii wanawake kuvaa saa za kiume!! Wengine waume zetu starehe yao watuone tumevaa vitu vyao kama shati, saa na hata boxer!


**Stop complicating Life, Death is the only way out of it!!
 
Wengi wanaovaa hivyo ujue ni mashabiki wa Salama Jabir..Maana yule hadi kinasa nadhani anavaa cha kiume..
 
Kam unamke au girlfriend pole yake,yaaaani hicho tu kimesababisha ufungue Uzi hahahaha teh na ukikereka na makubwa ni utafungua kamba hapa jf
 
Back
Top Bottom