Sio kila Siku mnapiga makelele....Serikali!!! Serikali!!! Serikali!!!....Mara Ooo mabeberu....Hii nnchi Wananchi Mnafikra mbovu kuliko Uzima wa Serikali ya CCM.....Wewe Kama Wewe mtoa mada umefanya Nini mpaka Sasa katika kusadia Jamii yako??? Zaidi ya kulaumu Serikali??? Walau basi toa...
[QUOTE="Dreamlinerz, ukipata muda jaribu kusoma Historia ya Bara la ulaya halafu uone haya unayosema yalitokea kwetu kama kwao hayakutokea. Hayo unayozungumzia ni mifumo tu ya maisha ambayo ni lazima itokee kwenye jamii fulani ili iweze kuendelea na hayo hayapingiki kwa sababu ni LAW OF NATURE...
Unafahamu nyerere alikuwa na maana gani kuzuia shughuli za uchimbaji wa madini Tanganyika Na Akasema tutakuja kuchimba wenyewe Siku tukiwa tumeendelea??????
Hamjui chochote kuhusu Ukoloni Wala wakoloni. Rudini darasani mkasome Historia. Mmesahau kuwa waliondoka na Masalia ya Mnyama mkubwa zaidi kuwahi kutokea Duniani. Waliondoka na nafsi za Mashujaa wetu wapendwa waliopigania Ardhi zao. Walitufanya watumwa kwenye mashamba yao ya mikonge na pamba...
Kweli mkuu Miamala ya kifedha Baadhi ya maeneo Iringa ni tatizo na Mawakala ni wachache Sana ....hasa Maeneo ya Mufindi, Baadhi ya maeneo ya Kilolo na Maeneo yote kutokea Isele mpaka Ruaha mbuyuni....Sehemu nyingine hakuna Mawakala kabisa
Na pia ni mkoa pekee ambao unaweza kuelekea mashariki ukaja kutokea Magharibi.....Sema Baadhi ya vitu vina boa..Mfano Vyumba Baadhi ya maeneo kama M/togwa ni gharama Sana afu nyumba za kiboya....Pia Pamba(nguo) Iringa ni gharama Sana ndomana mabishoo wengi wa Iringa wamekondeana,sababu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.