Shilandula
Member
- Nov 30, 2019
- 6
- 6
KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', Ettiene Ndayiragije amewaita wachezaji 32 kuunda kikosi kitakachoshiriki mashindano ya Chalenji yatakayofanyika Uganda.
Mashindano hayo ya Cecafa yataanza kutimua vumbi Disemba 7 mwaka huu huku kipa wa Simba, Aishi Manula akijumuishwa kikosini hivyo timu hiyo kuwa na makipa wanne wakiongozw ana Juma Kaseja wa KMC, Metacha Mnata (Yanga) na David Kisu (Gor Mahia ya Kenya).
Kumekuwa na Mijadala Mingi vijiweni eti kati ya Manula na Kaseja nani zaidi...Sasa Kipindi Hichi Wameitwa wote Taifa stars ...Kama weweNani Unampa Goli alinde tusitunguliwe?
Kaseja or Manula?
By Papaaaa Shiiiiiiii