Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hivi matatizo ya Tanzania yanaletwa na wazungu tunaowapa jina la mabeberu?
Hivi toka uhuru ni wazungu ndio wanaleta matatizo kwetu? Tukiangalia nchi zilizopata uhuru mapema za kiafrika na zilizochelewa zipi zina masndeleo?
Hivi Rais Magufuli na CCM yake ni mradi gani mkubwa unaofanywa na wazawa? Hayo maendeleo ya kuwapelekea wazungu hela za miradi mikubwa kama ndege, flyover, meli, barabara, bwawa la umeme anajua kuwa anajenga nchi za wazungu?
Je anajua anavyokopa kila kukicha anawafaidisha wazungu?
Anajua toka uhuru elimu bure inayotoa haina faida kwa wananchi wake zaidi ya kuwa vibarua kwa kuwasaidia wazungu? Hivi hii elimu imevumbua nini au inawasaidia nini raia?
Tunazalisha nini cha kuinua uchumi wa nchi? Hizo ndege ndio uchumi? Ingekuwa ni uchumi kama tungekuwa tunatengeneza wenyewe.
Hizo trilioni zote za mikopo kwa ufupi zinaenda kwa wazungu, unakopa huna watu wa ndani wenye uwezo wa kuzitumia unawaita hao hao wazungu unawalipa hizo fedha unabaki unalalamika.
Kitu gani unalalamika unaporwa? Kuna rasilimali inayoporwa tanzania bila CCM kuidhinisha kwa sheria za dharura na wewe ukiwa mmoja wa mawaziri kwa miaka zaidi ya 20.
Kuna mzungu aliyekuwepo hapa nchini kinyume cha sheria?
Hivi toka uhuru ni wazungu ndio wanaleta matatizo kwetu? Tukiangalia nchi zilizopata uhuru mapema za kiafrika na zilizochelewa zipi zina masndeleo?
Hivi Rais Magufuli na CCM yake ni mradi gani mkubwa unaofanywa na wazawa? Hayo maendeleo ya kuwapelekea wazungu hela za miradi mikubwa kama ndege, flyover, meli, barabara, bwawa la umeme anajua kuwa anajenga nchi za wazungu?
Je anajua anavyokopa kila kukicha anawafaidisha wazungu?
Anajua toka uhuru elimu bure inayotoa haina faida kwa wananchi wake zaidi ya kuwa vibarua kwa kuwasaidia wazungu? Hivi hii elimu imevumbua nini au inawasaidia nini raia?
Tunazalisha nini cha kuinua uchumi wa nchi? Hizo ndege ndio uchumi? Ingekuwa ni uchumi kama tungekuwa tunatengeneza wenyewe.
Hizo trilioni zote za mikopo kwa ufupi zinaenda kwa wazungu, unakopa huna watu wa ndani wenye uwezo wa kuzitumia unawaita hao hao wazungu unawalipa hizo fedha unabaki unalalamika.
Kitu gani unalalamika unaporwa? Kuna rasilimali inayoporwa tanzania bila CCM kuidhinisha kwa sheria za dharura na wewe ukiwa mmoja wa mawaziri kwa miaka zaidi ya 20.
Kuna mzungu aliyekuwepo hapa nchini kinyume cha sheria?