Kwa mifumo ya uhai wetu imetengenezwa kuharibika tu hata uishi kwa standard yakula kila kinachohitajika kwa kiasi na wakati!, ambacho utaongeza labda ni muda tu wakuishi ila kuhusu mwili kupata shida yoyote utapata tu hata uwe mtaalamu wakunyampa na makwapa!.
mh.. sidhani ila kwenye hii vita kumbuka marekani haswa serikali bado inabanwa na bunge lake kuwa ni vita au operation, so ni vile bado hawawezi kufanya vitu fulani fulani kwa maana haihesabiki kama vita pili matumizi ya siraha kubwa yanaweza kuleta madhara mpaka kwa raia wa kawaida.. nafikiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.