kila kitu kinahitaji elimu na muda, msiwalaumu watu wanaoshindwa forex maana hata kilimo kuna watu wanakishindwa maana nacho kinahitaji elimu kuanzia soko, hali, madalali n.k so hata forex ipo hivyohivyo.
Vijana tunajihusisha na mambo mengi sana kazi zote ngumungumu na zenye hatari!, mtu anajenga ghorofa ya ishirini huko na hajavaa vifaa vya usalama asipodondokewa na kitu basi vumbi linaweza mletea madhara!, starehe nazo zinatuangamiza pombe, ngono zembe zinamagonjwa, ugomvi usiokuwa na mantiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.