Nafikiri ni usemi wa utani tu!, by the way mji unakuwa mzuri zaidi ukiwa na chanzo chochote cha maji ziwa au bahari.. fukwe ni sehemu nzuri sana za kwenda kupumzika.. watu hufanya safari ndefu nakulipia gharama kwaajili yakufuata fukwe tu!.
Ikiwa mtu anaweza kurudi nyuma ya muda basi alietengeneza ulimwengu nakuweka hizi kanuni zake aje nimsaidie kuzirekebisha!..😅
Kurudi nyuma ya wakati ni nadharia tu haswa kwa wale wanaofikiri muda ni kama slice za mikate!, muda haupo hivyo.
Muda ni vile stillness ya space inavyoendelea ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.