Recent content by KENZY

  1. KENZY

    Niki wa Pili ameshow love kwa Binti yake mzuri

    momy tupostie nawewe wakwako
  2. KENZY

    Milio ya risasi yasikika ndani kwenye hafla ya chakula cha usiku, Trump aondolewa ukumbini na wanausalama

    hii ya leo na ile aliyokoswkoswa sikioni kuna nyengine hebu nikumbushe....
  3. KENZY

    Milio ya risasi yasikika ndani kwenye hafla ya chakula cha usiku, Trump aondolewa ukumbini na wanausalama

    tulia report ya wanausalama ije itaeleza kila kitu
  4. KENZY

    Milio ya risasi yasikika ndani kwenye hafla ya chakula cha usiku, Trump aondolewa ukumbini na wanausalama

    walinzi wa rais mara hii wanayo kazi tena sio ndogo, mara ya pili sasa trump anakoswakoswa huyu rais hajakaa kabisa katika mioyo ya watu hata katika nchi yake, inaonekana hawapendi kwa baadhi ya maamuzi anayoyachukua si dalili nzuri hii litamtesa hili swala watu wameamua kwenda na mwendo...
  5. KENZY

    Mnaonaje timu mbili zikicheza dhidi ya moja.

    wewe unaakili mnemba
  6. KENZY

    Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    niruhusu niteseke kwaajili yako lakini kwanza unatesekaje na unateseka na nini baby..?
  7. KENZY

    Je, ni jambo gani uliwahi kulifanya kisa mapenzi ukikumbuka unajishangaa?

    kuna mdada aliniumiza nikashindwa kuvumilia yale maumivu nikaenda kumsema kwa baba yake huku nalia!, sasa kwa unyama ambao nilionyeshwa baba yake alinipiga mabanzi kama manne hivi ya kwenye mgongo mpaka nikaanza kupiga kwikwi zisizokuwa na mpangilio!!. niliondoka pale nikiwa katika hisia...
  8. KENZY

    Umewahi kutembea na mpenzi wa rafiki yako?

    kwahiyo mkuu unataka kusema upo salama..? ngoja jamaa lije lijue kesho tu uone litakavyokuja na style mpya yakulipiza kisasi, sio tu magazeti yataandika hadi vipeperushi, habari yako itakuwa gumzo mpaka kwenye vyombo vya kuoshea vyombo...😁
  9. KENZY

    Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    hicho ndicho anachomaanisha au kuelewa mpaka upigwe marungu ya medula oblangata!..😅
  10. KENZY

    Hii nimeiona Tanzania, ripoti ya vifo vya watanzania 518 tu inatolewa na makofi yanapigwa, tumeanza lini utaratibu wa kupiga makofi msibani?

    mambo yakiwa hayajakufika huwa ni rahisi kutoa tabasamu, wale mi nawaona kama wacheza filamu tu hawaishi maisha halisi na wanakataa filamu zao kuwa maisha halisi mpaka yawafike kama kigwanga,ra.... ukitaka kuona uhalisia angalia namna viongozi wakianza kufikia tamati huanza kujutia nakurudi...
Back
Top Bottom