Recent content by KENZY

  1. KENZY

    JamiiForums Tanzania Tuongee kuhusu Tequila.

    Chakuongezea cocktail maarufu inayotengenezwa kupitia tequila ni margarita cocktail!, vilevile tequila ukinywa dry imekuwa kama ni utamaduni kunywa huku unaramba ndimu/limao na chumvi, hata hiyo cocktail ya margarita glass yake kwenye miisho huwekwa chumvi!.
  2. KENZY

    JamiiForums Tanzania Nembo ya kumuunga Mkono Lissu ni hii: Hakuna kuchana wala kunyoa nywele mpaka lisu aachiwe

    Challenge nyengine bhana..😅
  3. KENZY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Toto la ki black American lilivyonichecheta!

    Samaleko..😅
  4. KENZY

    JamiiForums Tanzania Aliyefyatua risasi karibu na Ikulu ya Trump auawa kwa kupigwa risasi

    Anaweza akatoboa maana wanaomsogelea inaonekana si watu hatari sana!, i mean matukio kadri yanavyozidi yanakuwa yanapungua hatari zaidi maana walinzi wake wanazidi kuimarisha ulinzi siku hadi siku!. Ukiacha lile tukio la kukoswakoswa nakupigwa sikio mashambulizi yaliyofuata hayakuwa hatari kama...
  5. KENZY

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwanamke kutokwa na damu kwa miaka 12 kinaleta mkanganyiko, sometimes bibilia inatakiwa iwe specific bhana!

    We maliza kabisa kwa kusema yote usiandike nusunusu!
  6. KENZY

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwanamke kutokwa na damu kwa miaka 12 kinaleta mkanganyiko, sometimes bibilia inatakiwa iwe specific bhana!

    Mimi hata kiwanja na kila kitu watajenga wao na gari wataninunulia na kanisa litakuwa lakwangu!
  7. KENZY

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwanamke kutokwa na damu kwa miaka 12 kinaleta mkanganyiko, sometimes bibilia inatakiwa iwe specific bhana!

    Hiyo namna yakuingiza fedha nitaofanya siku mambo yakigoma nitakuwa mchungaji mzuri tu na sadaka zao nitakula!.
  8. KENZY

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi msichana kuvaa nguo za ndani za kiume(boxers)

    Siku akiweza umeisha!..🤣
  9. KENZY

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwanamke kutokwa na damu kwa miaka 12 kinaleta mkanganyiko, sometimes bibilia inatakiwa iwe specific bhana!

    Katika 2 Timothy 3:16: “Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu...” Wakristo wengi hutafsiri hii kuwa maandiko yaliongozwa na Mungu. Katika 2 Peter 1:21: “Wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.” Katika Exodus mara nyingi kuna sentensi kama: “Bwana akamwambia Musa…” Hii...
  10. KENZY

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwanamke kutokwa na damu kwa miaka 12 kinaleta mkanganyiko, sometimes bibilia inatakiwa iwe specific bhana!

    Hamuiti kuwa hayo ni maneno ya Mungu nyinyi..?
Back
Top Bottom