walinzi wa rais mara hii wanayo kazi tena sio ndogo, mara ya pili sasa trump anakoswakoswa huyu rais hajakaa kabisa katika mioyo ya watu hata katika nchi yake, inaonekana hawapendi kwa baadhi ya maamuzi anayoyachukua si dalili nzuri hii litamtesa hili swala watu wameamua kwenda na mwendo...
kuna mdada aliniumiza nikashindwa kuvumilia yale maumivu nikaenda kumsema kwa baba yake huku nalia!, sasa kwa unyama ambao nilionyeshwa baba yake alinipiga mabanzi kama manne hivi ya kwenye mgongo mpaka nikaanza kupiga kwikwi zisizokuwa na mpangilio!!. niliondoka pale nikiwa katika hisia...
kwahiyo mkuu unataka kusema upo salama..? ngoja jamaa lije lijue kesho tu uone litakavyokuja na style mpya yakulipiza kisasi, sio tu magazeti yataandika hadi vipeperushi, habari yako itakuwa gumzo mpaka kwenye vyombo vya kuoshea vyombo...😁
mambo yakiwa hayajakufika huwa ni rahisi kutoa tabasamu, wale mi nawaona kama wacheza filamu tu hawaishi maisha halisi na wanakataa filamu zao kuwa maisha halisi mpaka yawafike kama kigwanga,ra.... ukitaka kuona uhalisia angalia namna viongozi wakianza kufikia tamati huanza kujutia nakurudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.