Recent content by KENZY

  1. KENZY

    Unaweza kukubali utajiri wa masharti wa kuoga mara 1 tu kwa mwezi ?

    usiamini ushirikina unaweza kukupa utajiri anaepata utajiri hapo ni huyo anaekuambia ufuate hayo masharti...
  2. KENZY

    SirJeff(Ontario) wa Forex yupo jela kwa kesi za kisiasa au alitengeneza mazingira hayo kesi za utapeli zilipozidi?

    nyumbu huwa wapo tu ndugu, huoni hata habari za dini ule nao ni unyumbu tu...
  3. KENZY

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    sawa lakini hili andiko umeandika kihisia kuliko kutumia ubongo zaidi...
  4. KENZY

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    sio kosa lako bado unaakili za kijamaa..
  5. KENZY

    Mungu kukupaka mafuta ina maana gani katika maisha yako soma hapa

    Ohoo! kuna kupakana mafuta tena!
  6. KENZY

    Kwanini chumvi ni hatari katika mwili wa binadamu na si sukari?

    Kwa mifumo ya uhai wetu imetengenezwa kuharibika tu hata uishi kwa standard yakula kila kinachohitajika kwa kiasi na wakati!, ambacho utaongeza labda ni muda tu wakuishi ila kuhusu mwili kupata shida yoyote utapata tu hata uwe mtaalamu wakunyampa na makwapa!.
  7. KENZY

    Utafiti: Bia inaongeza uwezo wa kufikiri na ubunifu kwenye angle nyingi za kimaisha

    Mpaka tudondoke kwenye mitaro!..😂
  8. KENZY

    Saikolojia inasema uwe tayari kuishi peke yako. Watu hubadilika ghafla; leo una umuhimu kwao, kesho unaweza kuwa si kitu kwao

    Vipi kwani na mishangazi huwa inaacha bila taarifa..? semeni mapema maana huyu mshangazi ananiambia ananipenda milele na hawezi kuishi bila mimi!..😅
  9. KENZY

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    mh.. sidhani ila kwenye hii vita kumbuka marekani haswa serikali bado inabanwa na bunge lake kuwa ni vita au operation, so ni vile bado hawawezi kufanya vitu fulani fulani kwa maana haihesabiki kama vita pili matumizi ya siraha kubwa yanaweza kuleta madhara mpaka kwa raia wa kawaida.. nafikiri...
  10. KENZY

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    kila mtu anaishi katika uwanda wa mazingira yake full stop...
Back
Top Bottom