Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,505
- 860,526
Vitambi na vibamia kama chupi na ngozi😂A lil,minute ago.View attachment 3638687
Vitambi na vibamia kama chupi na ngozi😂A lil,minute ago.View attachment 3638687
Ukimwi unatupimia tuNyuzi za hivi zinatembea kinyama
Ukimwi utatupimia tuView attachment 3638697
Kuacha na kuachika vyote ni 1 tuSijaachika nimeacha mkuu
kama uko single unafanya na nanikwanini mda mrefu kwani hamna nguvu za kiume na kike?
Mbona vijana wengi humu nao wanatafufa mlio single kama wewe. Jikamatia kijana wako mmoja humu mfalijianekama uko single unafanya na nani
Haukuwa mwanachama pendwa kweli wa upande wa pili wa sheria?Baada ya kumaliza chuo nilikaa kwa ndugu miezi sita ilipita..sina kazi sina hela, hata nikimtamani mdada njiani nilikuwa najiuliza nitampeleka wapi?
Kwenye kujikamatia hapo ndo Kuna changamoto sana mkuu, we yasikie kwa jirani tuMbona vijana wengi humu nao wanatafufa mlio single kama wewe. Jikamatia kijana wako mmoja humu mfalijiane
Maisha ni full ku take riksKwenye kujikamatia hapo ndo Kuna changamoto sana mkuu, we yasikie kwa jirani tu
Hapa umenena, kikubwa tu vijana tupambanie sana mpaka pale tutakapopata.Maisha ni full ku take riks
Mabaharia tushazoea now natimiza miezi tisaTangu niyafahamu mapenzi sijawahi kukaa mda mrefu namna hii bila kushiriki, mpaka sasa ni miezi miwili sasa nimejikuta tu nimeshazoea nadhani naweza kumaliza hata mwaka.
Kwako mdau upi ni muda mrefu zaidi uliowahi kukaa bila kufanya mapenzi?
Ko saizi mtu akigusa tu......