Recent content by kente

  1. kente

    SHow ya Wema sepetu. EATV

    Umeniwahi!! Mm ningependejeza kifungiwe kabisa kwasababu ni aubu kwa eatv na hata jamii kwa ujumla maana lugha inayotumika si ya dunia hii, labda ni lugha ya huko jupiter!!!
  2. kente

    Mwalimu Nyerere alikuwa mharibifu namba moja wa lugha ya Kiswahili

    Hujachanganya lugha?!!!! Basi ww utakuwa na matatizo, nn maana ya dont bother kujibu? Hicho ni kiswahili ama kingereza? Manapenda kuona madhaifu ya wengine na kuyakosoa kwa nguvu kumbe hakuna tofauti baina yenu!!!! Ngoja nisepe usiniambukize ujinga
  3. kente

    Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

    Ni upuuzi uliotukuka kudhani kuwa ati ametoka kwa nguvu za waislamu!! Kama ametoka kwa hiyo issue ya kwenda kufanya utafiti, basi tuamini hivyo na si kujitungia tungia uongo. The...... Have tiny mind!! I have proven that, not just few, i gues its all of the ----
  4. kente

    Picha: Vurugu Zinazoendelea Mbeya, Mabomu yatawala sababu ni kugoma kununua TRA register's

    hiyo elimu si tatizo, tatizo ni bei kubwa ya mashine ambayo ni tsh. 800,000
  5. kente

    Picha;nilimfanyia hadi hivi........lakini bado kanitosa

    Hapo alipofika yy ni pabaya@ grafin11
  6. kente

    Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

    watu wameanza kujitapa kwa udini!!! mawazo haya ya kipumbavu katika nchi yetu. Nyerere
  7. kente

    Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

    illungas Fullishness
  8. kente

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Luge Lufulondama Nteminyanda shagihiru muhitimu o-level pale Goldenrule secondary 2006
  9. kente

    Hayo ndiyo mambo ya mwembe Yanga kwa kifupi juu ya sakata la Ponda

    Elimu hakuna kabisa kwa hawa watu! yaani huwa wana mijadala ambayo hata watoto wa shule za msingi wanaweza kuwaahangaa kabisa
  10. kente

    Hayo ndiyo mambo ya mwembe Yanga kwa kifupi juu ya sakata la Ponda

    hahahahahahahaha- mtu mzima kumtishia nyau ni kama unajiaibisha tu!! hakuna lolote hapo ,
  11. kente

    Wananchi 200 wauawa nchini Misri asubuhi hii

    Hii dini si ya Mungu- ni ya shetwaaan!!! Huwezi kufia cheo cha mtu na kujidai eti umefia haki- upuuzi wa hali ya juu sana- na Mwenyezi nae anawaona ndio maana nchi zenu karibu zote zipo kwenye adhabu kali sana duniani kote! Dah poleni sana
Back
Top Bottom