hizi hadithi za mumro na wewe usituletee hapalowasa-"hallow?.
jk-hallow hi?.
lowasa-vipi tena rafiki,mbona umekiuka makubaliano asee.
jk--"ingekua ngumu sana,ujue wale jamaa wamekuchafua sana bana,utasababisha tuanguke".
lowasa-"sasa inakuaje,unaachaje".
jk-"ok,sasa ngoja nikupe mchongo,hii inaitwa pata potea,hamia Ukawa,hakikisha huo umoja unakua flooded na makada wetu to the maximum".
lowasa-"itawezekana kweli bro?".
jk-"mchezo mdogo,mi naagiza kukuwekea kauzibe,wataingia line hook and sinker we utaona".
lowasa-"ha ha ha,bro sikuwezi kwa mbinu asee".
Mkuu utakufa kwa presha make kila baada ya dakika 10 unakuja na uzi mpya, ushauri wangu kwa wana CCM tijikite sana kumnadi mgombea wetu, kwa sasa tunacheza ngoma ya UKAWA, kwa sasa chochote kile kitakacho ongelewa kuhusu Lowasa hakibadilishi chochote kile, ingekuwa USA ingeweza saidia ila huku ni kazi bure hata tungekuja na sarakasi gani hazitabadilisha watu kamwe.
Wee leo unatafuta kupigwa pumbv na UKAWA ..!!! Huko CCM hakuna wa kukupumulia kisogoni..!? Sie hatufanyi ufirauni huo...bastard...!!!
Mkuu hiyo michezo wamecheza kina Slaa na Lipumba wameshindwa itakuwa Lowassa, nahisi akidndelea kuna siku atachezea selo, aimbe vixuri piiipooooz!!
Mkuu hiyo michezo wamecheza kina Slaa na Lipumba wameshindwa itakuwa Lowassa, nahisi akidndelea kuna siku atachezea selo, aimbe vixuri piiipooooz!!
Jana Lowasa wamemjibu kwa tamko kali hakuna kuzika! Unajuwa hivyo ndivyo watu wanafanya kazi, wewe unataka kutumia msiba kama sehem yakupiga kampeni ipo ok mzee? Mh mbatia na wewe umelewa vijisenti? Hehehehe in shot hamna pakwenda malipo ni hapa hapa duniani. Mtaniambi.
Kuna wakati inabidi tuwe serious!! Huyu mwenzetu hayupo vyema,inawezekana kabisa kuwa amechanganyikiwa,tunaweza kum attack hapa kumbe mwenzetu anahitaji msaada,kama kuna yeyote anayemjua au aliye karibu naye tafadhali amuwahishe hospitali iliyo karibu,au ani PM kwa msaada wa awali.
Jamani miaka kadhaa nyuma tulikuwa tunaiponda ccm na mafisadi wake wakiongizwa na mh.ngoyai Lowasa na wenzake ambao wamekuwa kama taswira ya ufisadi hapa nchini,tulimkataa akiwa ccm kuwa ccm ni mafisadi na wamechakachua maoni ya wanachi kupitia katiba na yeye lowasa alikuwemo na hakutoa mchango wowote juu ya katiba hiyo na ufisadi wa mawazo ya wakoloni weusi wa ccm.wengine wakidai mh.huyu ni mgonjwa hawezi ongoza taifa linaloitaji mtu mwenye afya safi na shupavu.Leo kahaamia CHADEMA yote tumesahau amegeuka kuwa malaika kutoka kundi la shetani.Kweli watanzania tumerogwa na kamwe hautokuja pata maendeleo daima dumu.Hee mwenyezi Mungu pitisha ugonjwa wa EBOLA huku ili kizazi hiki cha mazombie kipotee chote tupate vijana wapya wanye mapenzi na uchungu wa Taifa letu.Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Nyerere,Dr.Slaa,Sokoine na Warioba.