Baadhi ya viongozi wa Msumbiji waliolelewa na kukulia Tanzania:
1. #EdwardoMondlane
Kiongozi wa kwanza na muasisi wa chama cha FRELIMO. Alikiunda chama cha FRELIMO mwaka 1962 nchini Tanzania na makao makuu ya FRELIMO yakawa jijini Dar es Salaam kwa miaka 13, tangu mwaka 1962 hadi mwaka 1975...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.