Sitamchagua tena Magufuli 2020,

Sitamchagua tena Magufuli 2020,



Ila Magufuri anachotutendea
Hatukutegemea kabisa.
Na kwa akili zenu za kipimbi 2019 mtasahaulishwa maana mambo mengi yatakuwa bwereree ,hivyo kupelekea akili zenu ambazo hata KUKU ananafuu mtasahau mateso yote na kuchagua kitu kilekile.
Asanten.
 
Lipo kundi la wengi walikuwa wanapinga ufisadi walichagua ukawa na wengine wapiga dili walio chagua ccm wote wanabadilika sasa tunamuunga mkono magufuli kwa kupunguza wapiga dili wakati wengine nao mnarudi kwa ukawa ingawa haitakuwepo 2020
 
Daaaahhhh tuache ushabiki wa vyama jaman huyu mzee wetuu watu walimwamini sana na bado wengi wanaamin huenda akabadilika ingawaje tunaoona mbali ni dhahiri kabisa hatobadilika hata chembe but reality mzee nchi imemtoa K.O kbx haiwezekan kila kona ni lamentation na kilio tuu pia mm ni mmoja wa wahanga wa hilo la mwisho alilolitaja mtoa uzi but @AM SORRY JK(Nikk mbxh)
 
JF is a strong medium of communication, hapa kwa kuthubutu kidogo amewasilisha ujumbe fikirishi kwa wapiga kura wa haja! Uache ubongo wako ujivinjari!
You are a real Great Thinker.Big up mkuu!
 
Hata mimi simpikula yangu tena hata iweje
 
Na kwa akili zenu za kipimbi 2019 mtasahaulishwa maana mambo mengi yatakuwa bwereree ,hivyo kupelekea akili zenu ambazo hata KUKU ananafuu mtasahau mateso yote na kuchagua kitu kilekile.
Asanten.
Sidhani kama unenayo ni kweli.
 
"Hii serikali imekuwa inalea watumishi wanao haribu na kuiba mali za watanzania maskini, mtu anaharibu Kibaha anapelekwa Mtwara, mtu ameiba na ushahidi upo watu wanasubiri uchunguzi, tukisema CCM imeshinda kusimamia nchi hamtuelewi "

"Serikali ya CCM imekuwa inatumbua bila kufuta sheria mtu hatakama ameibia uma kunautaratibu wakuchukua ikiwa lazima uchunguzi ufanyike "

Hayo maneno ya nasemwa na mtu mmoja kwa wakati tofauti, hivi tunakuwa tunasahau tunayoyaongea au tunafikiri wasikilizaji wanasahau?
 
Back
Top Bottom