Kwa aliyeanzisha hii thread mimi nasema hivi......believe what you want to believe and let other people decide for themselves. Kila mtu atapima imani yake towards huyu Babu na ataamua kulingana na utashi wake! Going on and on about sijui mstari wa Bible unasema x, y and z isnt going to help...
Namuonea huruma kama binadamu mwenzangu lakini kama walivyosema wengi hawa viongozi wakiwa kwenye system wanajisahau sana. Mama Ngulume..pole lakini hayo ndo maisha ya mtanzania kila kukicha..ukiwa maskini you die like an animal!!!! She was very arrogant nakumbuka wakati tunampelekea form zetu...
Ubungoubongo ananena jambo la kweli......Watz tuna mambo ya ajabu sana....it is true kwamba hawa hawa wanaolalamika leo ndo wa kwanza kupiga campaign kuunga mkono CCM and His Excellency the President
yaah ila judging by the way things are looking and i hope this study becomes public...tatizo ni KUBWA MNOOOO!!!!Nadhani US wanawaita DL's (down low)...tatizo la hawa wanakuwa bisexual japo preference inakuwa kwa wanaume wenzao zaidi na kuoa inakuwa kama "smokescreen" ya whats really happening in...
im sure we do but lemme say this.....judging from the few events i have been able to attend where the MC or guest of Honour etc tries to crack a joke....from the audience very few chuckles emerge. Seems like hapa home this type of comedy will take a long time to impress people bado tumezoea...
..........thats why i like minding my own bizness everywhere. i do not talk to strangers PERIOD. Bongo sasa hivi huwezi jua mzuri nani mbaya nani and these conmen take advantage of the fact that Tanzanian people ni wakarimu and we are ready to listen and help anyone in need. MIND YOUR OWN...
......mkarimu kwa ndugu,jamaa na marafiki.
......awe understanding yaani si mtu tu wa kukurupukia vitu
........amuheshimu mkewe.
........mume mwema ni yule anayempiga mkewe kwa upande wa khanga :)
.......
.......
....nafahamu kuna study inafanyika hapa dar kwa sasa kuhusu hii hali na kwa taarifa zisizo rasmi hii kitu iko sanaaaaaaaaaaaaaa...yaani watu wameoa na watoto kama kawaida lakini wanamega/megwa kama kawaida tu na wanaume wenzao ....n life goes on!!!!!
....jamani tofautisheni kumsakama na positive criticism!!!!aaargh u make me so angry...always on the defensive. Wengi waliochangia kuhusu mavazi ya mama wala hawajasema baya ila there are appropriate clothes for every occasion unless kama nilivyosema awali this event was a spur of the moment...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.