Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Kuna tetesi kwamba kanumba anatafuta 'msichana' amzalie mtoto wa chupa! Je, hali hiyo inaashiria nini?
Nanukuu: "natafuta dogodogo mmoja ambaye atakuwa tayari kunizalia mwana lakini si kwa njia ya kujamiiana bali kupandikiza mbegu kwa chupa - Kanumba" Mwisho wa kunukuu
Kazi kweli kweli
Do you want to know more about him? Visit: http://www.kanumba.com/index.html
Nanukuu: "natafuta dogodogo mmoja ambaye atakuwa tayari kunizalia mwana lakini si kwa njia ya kujamiiana bali kupandikiza mbegu kwa chupa - Kanumba" Mwisho wa kunukuu
Kazi kweli kweli
Do you want to know more about him? Visit: http://www.kanumba.com/index.html