SHINYAKA
Member
- Oct 6, 2010
- 74
- 39
Wanaompigia kelele babu ni wezi kwa kutumia Biblia, janja yao kutokea nigeria na india, wanaombea matatizo miaka nenda rudi, sadaka mamiliöni. Lakini hakuna kitu. Babu ukimuona mara moja hutamuona tena. Wameambiwa usihukumu, wao wamepata wapi uwezo wa kuhukumu? PUMBA TUPU.